Hivi mtu anakuwa na ujasiri kiasi gani kutoa uongo kama huu.

Hivi mtu anakuwa na ujasiri kiasi gani kutoa uongo kama huu.

Mzee Gwanda

Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
26
Reaction score
4
Yaani hakuna cha magazeti cjui HABARI LEO, TANZANIA DAIMA, wala ITV. Ni kwamba hii attachment imetoka TAMISEMI kabisa hadi sasa imo kwenye NOTES BOARD. Sasa najiuliza taarifa hii imecombine hata habari za chakula kwa wanafunzi wa bweni kumbe huenda wote ni uongo mtupu hata shule hazina vyakula kweli. Kama mtu anapata ujasiri wa kudanganya wasomi zaidi ya 40,000 kwenye ishu ambayo ni very serious hii nchi inaelekea wapi jamani. Hakuna aliyelazimishwa kutoa taarifa kama hii kwa umma tena. Bora wangetuacha tukaendelea kusubiri kimya kimya kama ilivyokuwa na tetesi zikaendelea za HAKUNA AJIRA kuliko kudanganywa kama watoto wadogo. Athari za uongo huwa kubwa sana make wengine walokuwa PRIVATE tayari wamekimbia wakijua tar.25 wanapata post kumbe SIASA. I hate politics in serious issue, I hate politics and I'll hate it forever.
 
Bado wanapanga majina vizuri
yaani hakuna cha
magazeti cjui habari leo, tanzania daima, wala itv. Ni kwamba hii
attachment imetoka tamisemi kabisa hadi sasa imo kwenye notes board.
Sasa najiuliza taarifa hii imecombine hata habari za chakula kwa
wanafunzi wa bweni kumbe huenda wote ni uongo mtupu hata shule hazina
vyakula kweli. Kama mtu anapata ujasiri wa kudanganya wasomi zaidi ya
40,000 kwenye ishu ambayo ni very serious hii nchi inaelekea wapi
jamani. Hakuna aliyelazimishwa kutoa taarifa kama hii kwa umma tena.
Bora wangetuacha tukaendelea kusubiri kimya kimya kama ilivyokuwa na
tetesi zikaendelea za hakuna ajira kuliko kudanganywa kama watoto
wadogo. Athari za uongo huwa kubwa sana make wengine walokuwa private
tayari wamekimbia wakijua tar.25 wanapata post kumbe siasa. I hate
politics in serious issue, i hate politics and i'll hate it
forever.
 
Back
Top Bottom