Hivi mtu anawezaje kuzama chumvini?

Hivi mtu anawezaje kuzama chumvini?

Joined
Jul 29, 2015
Posts
20
Reaction score
199
Wadau shalom

Wife wangu pamoja na mdogo wake wameanzisha tabia ya kupenda kufanyiwa jambo hilo ambalo zamani hatukua tunafanya, mm nalifanya tu kwa kulazimishwa

Hata huyu shemeji yangu siku za nyuma alikua anachukia jambo hilo kuwa halikubaliki mbele za mungu lakini sasa hivi amekua Mlevi mkubwa Wa jambo hilo, nimejaribu kumuonya Mara kadhaa kwamba lisifanyike lakini analazimisha, sijui nae amefundishwa na nani

Watu Wa mungu naombeni ufafanuzi je jambo hili ni dhambi au la? Au ni mm ndio nakosea?
 
Wadau shalom

Wife wangu pamoja na mdogo wake wameanzisha tabia ya kupenda kufanyiwa jambo hilo ambalo zamani hatukua tunafanya, mm nalifanya tu kwa kulazimishwa

Hata huyu shemeji yangu siku za nyuma alikua anachukia jambo hilo kuwa halikubaliki mbele za mungu lakini sasa hivi amekua Mlevi mkubwa Wa jambo hilo, nimejaribu kumuonya Mara kadhaa kwamba lisifanyike lakini analazimisha, sijui nae amefundishwa na nani

Watu Wa mungu naombeni ufafanuzi je jambo hili ni dhambi au la? Au ni mm ndio nakosea?

Iko poa sana haina tofauti na hii bidhaa
 

Attachments

  • 1448549704595.jpg
    1448549704595.jpg
    55 KB · Views: 1,108
Back
Top Bottom