Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
Wakuu naomba msaada hapa, hivi mtu awezarithi ugonjwa wa kansa? Nasema hivi juu babu yangu mzaa mama alifariki kwa ugonjwa wa Kansa ya Jicho...Shangazi yake mama yeye alifariki kwa ugonjwa wa Kansa ya Kizazi...Mama yangu Mzazi alifariki kwa Kansa ya Ini...Mjomba wangu ambaye mama alikuwa anamfuata kwa kuzaliwa aligundulika na uvimbe kichwani na ulipochunguzwa akagundulika kuwa ilikuwa Kansa na hivyo kupelekea kufanywa upasuaji ya kuuondoa, lakini vile vile kipande cha mfupa (fuvu) kwani kilikuwa kimeharibika (Kimeoza)....
Sasa najiuliza, je inawezekana hili tatizo lipo kwenye ukoo hasa upande wa kwao mama au! Naomba msaada wenu Tafadhari...
Sasa najiuliza, je inawezekana hili tatizo lipo kwenye ukoo hasa upande wa kwao mama au! Naomba msaada wenu Tafadhari...