Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
Mkuu ZeMarcopolo Sasa hizo Kansa za kurithiwa hazina Dawa ya kutibika hayo Maradhi?Ndio,
Ziko kansa zinazorithiwa.
Ipo kansa ya jicho inaitwa retinoblastoma ambayo ina form inayorithiwa.
Hata zile kansa ambazo hazijaonekana kurithiwa, lakini zimeonekana zina uhusiano wa kifamilia. Hii inaaminisha kwamba inaweza kuwa inarithiwa ila mfumo wake wa kurithiwa bado haujajulikana.
du! Hii hatari kwelikweli,, hivi na ugonjwa wa kisukari nao huwa unrisiwa?
Wakuu naomba msaada hapa, hivi mtu awezarithi ugonjwa wa kansa? Nasema hivi juu babu yangu mzaa mama alifariki kwa ugonjwa wa Kansa ya Jicho...Shangazi yake mama yeye alifariki kwa ugonjwa wa Kansa ya Kizazi...Mama yangu Mzazi alifariki kwa Kansa ya Ini...Mjomba wangu ambaye mama alikuwa anamfuata kwa kuzaliwa aligundulika na uvimbe kichwani na ulipochunguzwa akagundulika kuwa ilikuwa Kansa na hivyo kupelekea kufanywa upasuaji ya kuuondoa, lakini vile vile kipande cha mfupa (fuvu) kwani kilikuwa kimeharibika (Kimeoza)....
Sasa najiuliza, je inawezekana hili tatizo lipo kwenye ukoo hasa upande wa kwao mama au! Naomba msaada wenu Tafadhari...
Mkuu ZeMarcopolo Sasa hizo Kansa za kurithiwa hazina Dawa ya kutibika hayo Maradhi?
Zinarithiwa...na si ugonjwa wa kansa tu..magonjwa haya makubwa mfano kisukari same..na kwetu mimi iko kwenye hypertension amayo kwa jina maarufu ni low Pressure ama BP ya kushuka...Baba yetu alikuwa na BP low,watoto wa tatu wa familia tunayo...na wala sisi si wanene kwamba mafuta