C0deName 30588
Member
- Nov 14, 2011
- 16
- 0
hello.!
jamani wana Jamii wenzangu mi naomba niulize kitu, Hivi mtu unavoomba kazi si unataka Kazi then at the end wakulipe Mshahara? IN SHORT NI KWAMBA TUNAOMBA KAZI ILI TUPATE HELA. sasa nashangaa, kuna sehemu moja walitangaza nafasi za kazi, then watu tukatuma maombi yetu, baadae tukapigiwa simu kuitwa kwenye Interview, kusema kweli nauli yenyewe kwangu binafsi ilikua mbinde kuipata, basi nikajichanga nikapata Tsh.600/- then nikaenda.Wakatu interview then wakasema watatupigia simu kama mtu umepita au la. after some days wakapiga kweli tukaenda. Kufika pale wanaanza stori za Utajiri, mara sijui Leo ni siku ya bahati kwako, mara wanatuonyesha picha za majumba ya kifahari na Magari mara Sijui nini.....Machale yakanicheza..... MWISHO KUMBE WANATAKA UTOE HELA ILI UWE PART OF IT, tena in terms of dollars, either USD 100, 1000 au 10000. sa jamani mi natafuta kazi sina hela then kufika hapo mnataka Niwape tena mijihela yooote hiyo mi ntaitoa wapi??? yani i wont forget that day. sina hamu.
jamani wana Jamii wenzangu mi naomba niulize kitu, Hivi mtu unavoomba kazi si unataka Kazi then at the end wakulipe Mshahara? IN SHORT NI KWAMBA TUNAOMBA KAZI ILI TUPATE HELA. sasa nashangaa, kuna sehemu moja walitangaza nafasi za kazi, then watu tukatuma maombi yetu, baadae tukapigiwa simu kuitwa kwenye Interview, kusema kweli nauli yenyewe kwangu binafsi ilikua mbinde kuipata, basi nikajichanga nikapata Tsh.600/- then nikaenda.Wakatu interview then wakasema watatupigia simu kama mtu umepita au la. after some days wakapiga kweli tukaenda. Kufika pale wanaanza stori za Utajiri, mara sijui Leo ni siku ya bahati kwako, mara wanatuonyesha picha za majumba ya kifahari na Magari mara Sijui nini.....Machale yakanicheza..... MWISHO KUMBE WANATAKA UTOE HELA ILI UWE PART OF IT, tena in terms of dollars, either USD 100, 1000 au 10000. sa jamani mi natafuta kazi sina hela then kufika hapo mnataka Niwape tena mijihela yooote hiyo mi ntaitoa wapi??? yani i wont forget that day. sina hamu.