Hivi muda wa kuapply vyuo vya afya bado jamani?

holygrail

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2012
Posts
1,303
Reaction score
597
Kuna dogo langu limepata

physics-c

biology-b

chemst-d

english-c

civics-c

history-c

maths-d

geogrf-d

Vipi hapo wadau anaweza kusoma diploma ya clinical officer au diploma yoyote ya afya. Kwa wanaojua kuhusu mda wa ku apply wizara ya afya anijuze.
 
omba usichelewe huu ndo mda wake,ila aanze na certificate,
 
Kama yupo Dar aende kuchukua form Muhimbili. Na kama yupo mikoa mingine aende kuchukua form hospitali za mikoa mwisho wa kuomba ni 30April
 
Kama yupo Dar aende kuchukua form Muhimbili. Na kama yupo mikoa mingine aende kuchukua form hospitali za mikoa mwisho wa kuomba ni 30April

mbna sijaona tangazo lao mkuu
 
wakubwa me ni kijana nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nimepata division three ya point 30 naomba kujibiwa kuwa naweza kupata chuo cha serikali kujiunga na kozi ya clinical officer nimepata
biology C
chemistry D
physics D
maths E
English B
 
Diploma ya c/o anapata kwa hizo pass

acha kumpoteza mwenzako atalipa elfu 30 na hata hatafikiriwa, dogo apige certificate yoyote ya afya. diploma ni chemistry c,bios c,physics d masomo ya math na eng ukipass ni sifa ya ziada inakuongezea credit. unaapply online kupitia websit ya nacte na mwisho wa kuapply ni june 30
 
Yaani wewe kama umemaliza form four hata kama una division one ya point 7 lazima uanzie certificate itasoma mwaka wa kwanza basic certificate mwaka wa pili wa tatu Technician certificate na mwaka wa tatu ordinary diploma hakuna shortcut
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…