Mipale Steve
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 384
- 43
- Thread starter
-
- #21
Sasa hapo ndio tutegemee utafundisha watoto zetu utambuzi wakati wewe mwenyewe hujitambui!!?? haya ni maajabu.
na ndio maana
nikauliza swali coz cku hz hata madiwan wanajifanya waajiri manyanyaso
yamezidi
achana na madiwani ambao wamechaguliwa kwa umaarufu waliokuwa nao mitaani,anaweza kuwa hata ni mcheza drafti maarufu watu wakampa udiwani...Ualimu ni proffesional na sio umaarufu.
tena huyu wa kata ye2 2mepanga tuhame wote afundishe yeye coz anaingilia mambo yacyomuhusu.
na ndio maana nikauliza swali coz cku hz hata madiwan wanajifanya waajiri manyanyaso yamezidi
Hiyo ndiyo dawa yao mkuu..
diwan hajifanyi mwajiri wako mkuu ila yy ni muhimiza maendeleo wa kata kwasababu ni mjumbe wa WDC ,hivyo ni jukumu lake kuwabana maMEK na walim wote katani kwake ili wawajibike vyema!!....muajiri wako ni yule alieainishwa kwenye barua yako ya ajira ambae ni DED!
kuhmiza cjakataa ila anatabia ya kufuatilia hadi darasan mwl ukifundisha tena ukiwa haufungaman na magamba yan mtaan hauish kwa amani
mwajiri wako ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri yako ya wilaya
diwan hajifanyi mwajiri wako mkuu ila yy ni muhimiza maendeleo wa kata kwasababu ni mjumbe wa WDC ,hivyo ni jukumu lake kuwabana maMEK na walim wote katani kwake ili wawajibike vyema!!....muajiri wako ni yule alieainishwa kwenye barua yako ya ajira ambae ni DED!
hahaha!km anataka kukuletea maishu ya siasa hapo atakua anakiuka sheria na taratib zake!yy kaz yake ni kufanya follow up katani kwake ktk shughuli zote za kimaendeleo ikiwa ni pamoja na elim!
Km anakutaka uwe magamba hapo anavunja haki zako za kikatiba!!
Yeye mwenyewe hajui kusoma na kuandika anahimiza nn sa ss hapo
Kama ni yeye mbona anashindwa kuongeza mishahara
N mkurugenz kijana, kwa niaba ya wizara na yy ndo anao uwezo wa kukucmamisha/kkfukuza kaz km mwajir wko.
Point of Correction, Mkurugenzi ni Mwajiri wa Mwalimu lakini Mamlaka ya Ajira ni TSD. Mwl anapewa barua ya ajira na kuthibitishwa kazini na TSD. Na masuala yote ya nidhamu yanashughulikiwa na TSD ikiwemo kusimamishwa na kufukuzwa kazi na hata authority ya kumpandisha mwalimu cheo ipo TSD.
hahaha!km anataka
kukuletea maishu ya siasa hapo atakua anakiuka sheria na taratib zake!yy
kaz yake ni kufanya follow up katani kwake ktk shughuli zote za
kimaendeleo ikiwa ni pamoja na elim!
Km anakutaka uwe magamba hapo anavunja haki zako za kikatiba!!
Katika moja ya sababu za msingi kwa kufeli f4 2012 hili ni swala la msingi, wakati walimu wa sekondari wakiwa moe, everthing were going smoothly, right now kila mtu ni Mungu mtu(Afisa elimu,Taaluma,Mhasibu mpaka PS). Yapo madai mengi toka mwaka 2000, ukidai leo unaabiwa nenda wizarani(moe), na moe nao wanasema mafaili yapo Tamisemi, tamisemi anajibu nenda kwa mkurungenzi wako(INAUMA SANA) mwisho wa siku huna msaada wowote. Upo umuhimu wa kuwa na Bodi ya Walimu Tanzania, kiwe chombo pekee cha utendaji, mtu akiwa mzembe OUT. Nawasilisha.