The Wisdom
Senior Member
- Oct 20, 2011
- 182
- 56
Habar wakuu kama Title yangu inavyojieleza
nimesikia kuwa kutokana mwanamke ana wayai mawili
so naomba kujua baada ya bleeding haya wayai huwa yanaachana kwa mda gani?
Au moja mwezi huu na yai jingine mwezi ujao?
Wife kaanza bleed 27-29/06
so nisaidieni lini na lini hayo mayai yanatoka???
Nawasilisha!!
nimesikia kuwa kutokana mwanamke ana wayai mawili
so naomba kujua baada ya bleeding haya wayai huwa yanaachana kwa mda gani?
Au moja mwezi huu na yai jingine mwezi ujao?
Wife kaanza bleed 27-29/06
so nisaidieni lini na lini hayo mayai yanatoka???
Nawasilisha!!