Hivi mwanamke kuwa na nyumba ndogo ni dhambi?

Mwanamke si ruksa kuwa na nyumba ndogo hata maandiko yanasema.
 
wengi watakubali ushauri wako sbb akili zao ni kama wanavyokojoa mkojo hauendi mbali tofauti na mimi ninaye lenga mbali na isitoshe we mwenyewe ni mtiifu kweli ktk ndoa yako,akili ya mwamamke bhana ni kama urefu wa mkojo wake akiwa anakojoa
 
Mfalme Suleiman alikuwa na wanawake wengi lakini hatujaambiwa mwanamke aliyebarikiwa kuwa na wanaume wengi
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…