Wanazidiana uwezoNyaga Mawala-Advocate(Aliyekua boss wa Mawalla Advocates) alivyofariki wosia wake ulikua kwa wanasheria wake Wawili Lawrence Masha&Fatma Karume.
So jibu linaweza kupatikana kwny Scenario hapo juu.
Nieleweshe sana ndio maana nikauliza.Ukiwaza hivyo, ni kama umejitoa ufahamu, kwani doctor pia haitahitaji doctor mwenzake kumpa huduma ya kitabibu, tunategemeana ndugu
Ahaa. Sasa kwa mfano nguli wa sheria kama labda kibatala akiwa na mwanasheria wake ina maana huyo mwanasheria anatakiwa awe zaidi ya mteja wake au inakuwaje.na kama ni hivyo sasa inakuwaje hafahamiki umaarufu kama mhusika sasaHuwezi ukafanya kazi zote wewe mwenyewe na kuna kuzidiana uwezo, hata accountants anahitaji accountants