Napenda kufahamu iwapo wanaume kutoka jamii ambazo hazina utaratibu wa kuwatahiri wanaume wengi wao wanakuwa waoga na kupenda kutumia vitisho katika kufanikisha matakwa yao katika jamii. Pengine tabia zao zinabakia kuwa hivyo kwa ajili ya kutopitia gazi mbalimbali za kupikwa kutambua maana ya kuwa mwanaume nini?