Instagram unapata updates ama taarifa ya kile ulichoki-follow, ukimfollow mange basi utapata updates ya post zake. Kila sehemu ina faida zake kulingana na matumizi ya mtu. Hivi unafikiri GT ni yule anaetumia JF tu! Huku kwenyewe watu wanaandika pumba za kufa mtu, bora hata anaeangalia makalio Instagram.