Hivi mwanaume unakosaje ndevu?

Hivi mwanaume unakosaje ndevu?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Mwanaume inabidi awe na ndevu zile zilizo panda hadi huku mashavuni halafu ziwe fupi sio zile zinazokua kwa kidevu tu. Mwanaume hata ukimkiss zile ndevu zikiwa zinachoma choma zinaleta raha fulani hivi.

Sasa unakuta mwanaume mwingine hana hata ndevu hata ukimkiss unahisi unamkiss mwanamke mwezio hata anakuwa asisimui. Wanaume wasiokuwa na ndevu saa nyingine unaweza kudhan ni katoto ka form one ukimshika mashavuni au kidevuni.

Mwanaume unakosaje ndevu?

IMG_20200609_012253.jpg
 
Ujinga wa kiwango cha lami. Kama unapenda ndevu tafuta wanaume sampuli ya Osama na sio kuponda maumbile ya wengine. Unafikiri wanaume nao tuna akili za kijinga kufanya surgery kuongeza makalio na nyonyo?😬😬😬😬
 
Ujinga wa kiwango cha lami. Kama unapenda ndevu tafuta wanaume sampuli ya Osama na sio kuponda maumbile ya wengine. Unafikiri wanaume nao tuna akili za kijinga kufanya surgery kuongeza makalio na nyonyo?😬😬😬😬
Mbona na nyie mnaongeza nguvu za kiume na sehem zenu za siri?
 
Mbona na nyie mnaongeza nguvu za kiume na sehem zenu za siri?
Note: nguvu za kiume ni muhimu kwa mwanaume hivyo kama hana lazima atafute tiba. Kuhusu sehemu za siri ni wanaume wasiojielewa wanaoendeshwa na mabwawa ya kinadada, ni sawa na kusema mbona kuna mashoga. 90% ya wanawake kila mtoko utakuta angalau kitu kimoja si halisia kwake. Kama sio kope, kucha. Kama sio kucha wigi (hapa wengi mmo)
 
Umeanza test Baba zako sasa unatukana vi boyfriend vyako..

Next utaanza tukana wasio kuwa na wake
Ukishaanza tembea na walio oa..
Mwisho ukianza tembea na wastaafu utaanza tukana wasio na mvi..

Ndo mlivyo visichana vya siku hizi kila ukisogea hatua moja unaponda ulio waacha hapo
Hongera.
 
Unajua kinachosababisha mwanaume aote ndevu?

Unajua kinachomfanya mwanamke awe na mtako?

Unajua kinachomfanya mwanamke awe na mbunye nene tamu ya moto yenye mafuta mafuta iliyoumuka kama mkate uliotiwa chachu?

Kumcheka mwanaume asiye na ndevu ni sawa na kumcheka mwanamke asiye na mtako. Wote siyo makosa yao labda kama unataka kumkosoa Aliyewaumba.

Pengine tulaumu tu mfumo wetu mbovu wa elimu, mfumo unaotoa wahitimu ambao hata hawajui mwili wa binadamu unavyofanya kazi hata katika kiwango chake cha msingi. Sad [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
 
[QUOTE="SHIMBA YA BUYENZE, post:

Unajua kinachomfanya mwanamke awe na mbunye nene tamu ya moto yenye mafuta mafuta iliyoumuka kama mkate uliotiwa chachu?

[/QUOTE]
Bro taratibu wengine bado tupo lockdown.
 
Kitu pekee kinachomfanya mtu awe mwanaume(mwana uume au mtu mwenye uume) ni mboo sio ndevu. Hatuitwi mwanandevu, tunaitwa mwanaume.

Mwanaume akikosa mboo hapo ndio unabidi ushangae lakini ndevu, ndevu ndio kitu gani?.

Ukiwa na mwanaume muda wako mwingi tumia kuchezea mboo yake na sio ndevu.

Nikuibie siri, sisi wanaume tuna weakest point 2, mboo na tumbo. Ukifanikiwa kumshika mwanaume kwenye vyote au kimoja wapo huyo mwanaume umempata. Sio ndevu. Kwani ndevu ndio zinaingia katikati ya mapaja yako?
 
Ujinga wa kiwango cha lami. Kama unapenda ndevu tafuta wanaume sampuli ya Osama na sio kuponda maumbile ya wengine. Unafikiri wanaume nao tuna akili za kijinga kufanya surgery kuongeza makalio na nyonyo?[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

Ha ha ha

Jiwe limekupata.

Kumbe wapo wanaume hawana ndevu.

Sasa mbona nyie mnatakaga makalio......huu si ujinga maana wadada nao hawana uwezo wa kujiumba ati.
 
Ha ha ha

Jiwe limekupata.

Kumbe wapo wanaume hawana ndevu.

Sasa mbona nyie mnatakaga makalio......huu si ujinga maana wadada nao hawana uwezo wa kujiumba ati.

Makalio kila mtu anayo sema makalio makubwa [emoji1]. Ndevu kitu gani hadi mbuzi anazo mwanaume ni pesa izo ndevu mnatutaftia sababu tu za kutuweka makundi makundi kama ilivyo kwa wenye pesa na wasio na pesa.
 
Back
Top Bottom