my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Mbona na nyie mnaongeza nguvu za kiume na sehem zenu za siri?Ujinga wa kiwango cha lami. Kama unapenda ndevu tafuta wanaume sampuli ya Osama na sio kuponda maumbile ya wengine. Unafikiri wanaume nao tuna akili za kijinga kufanya surgery kuongeza makalio na nyonyo?😬😬😬😬
Sasa mimi ndevu za nn?Ukiwa nazo wewe inatosha
Note: nguvu za kiume ni muhimu kwa mwanaume hivyo kama hana lazima atafute tiba. Kuhusu sehemu za siri ni wanaume wasiojielewa wanaoendeshwa na mabwawa ya kinadada, ni sawa na kusema mbona kuna mashoga. 90% ya wanawake kila mtoko utakuta angalau kitu kimoja si halisia kwake. Kama sio kope, kucha. Kama sio kucha wigi (hapa wengi mmo)Mbona na nyie mnaongeza nguvu za kiume na sehem zenu za siri?
Za kukuchoma chomaSasa mimi ndevu za nn?
Ujinga wa kiwango cha lami. Kama unapenda ndevu tafuta wanaume sampuli ya Osama na sio kuponda maumbile ya wengine. Unafikiri wanaume nao tuna akili za kijinga kufanya surgery kuongeza makalio na nyonyo?[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Ha ha ha
Jiwe limekupata.
Kumbe wapo wanaume hawana ndevu.
Sasa mbona nyie mnatakaga makalio......huu si ujinga maana wadada nao hawana uwezo wa kujiumba ati.