Hivi mwanaume unakosaje ndevu?

Makalio kila mtu anayo sema makalio makubwa [emoji1]. Ndevu kitu gani hadi mbuzi anazo mwanaume ni pesa izo ndevu mnatutaftia sababu tu za kutuweka makundi makundi kama ilivyo kwa wenye pesa na wasio na pesa.

Pole sana bana

Mwanaume pamoja na pesa yako lazima uwe na haiba ya kiume....kwani unafikiri wanawake hatuna pesa?

Vindevu huwa vinavutia ushikweshikwe na mpenzi aburuze kidevu chake... Ina raha yake.
 
Pole sana bana

Mwanaume pamoja na pesa yako lazima uwe na haiba ya kiume....kwani unafikiri wanawake hatuna pesa?

Vindevu huwa vinavutia ushikweshikwe na mpenzi aburuze kidevu chake... Ina raha yake.

Hiyo pole sio yangu mkuu ndevu zipo ila kwa wasionazo naona ni kawaida
 
Anaehitaji mafuta ya ndevu na ya kuondoa uwalaza anichek 0765 49 45 48
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeeh jf raha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…