.
mwanazuoni ni mtu anayetumia elimu yake kukusanya, kuchambua na kutolea mapendekezo ya kitaalamu masuala yanayojitokeza ktk sehemu fulani ya jamii. Msomi ni mtu aliyekwenda shule kwa kiwango stahiki lakini yupo disconnected na jamii yake- Issa Shivji kigoda cha sita kama sikosei