Hivi Mwendokasi ndo inakaribia kufa?

Hivi Mwendokasi ndo inakaribia kufa?

steve_shemej

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,175
Reaction score
1,588
Natamani nijue hivi shirika la mwendokasi "dart" ndiyo linakaribia kufa..? Nauliza hivi kwakuwa magari yanazidi kuchoka na hayaletwi magari mbadala shirika linatoa huduma mbovu bora hata ya daradara unakuta mfano kituo cha gerezani utakuta mfano foreni ya watu wanaosubiri kwenda kimara ipo kubwa lakini unakuta magari yamepaki madereva wanapiga story

Kama magari ni mabovu kwanini wasitoe taarifa kwa abiria watafute usafiri mbadala?

Pia huu mfumo wao wa kadi za mwendokasi wanadai ununue kadi kwa 5000 kisha ndiyo uweke pesa kwanini wasitoe kadi bure alafu tukalipia nauli? Au kwann wasiweke bei ya kadi ikawa angalau tsh 1000 kama kadi tunazotumia kukata tiketi za kuangalia mpira? Ukiichukua kadi ya tsh 1000 ya kuingilia uwanjani kuangalia mpira ni bora kuliko kadi ya 5000 ya mwendokasi kwanini wasitoe kadi bure sisi tukajaza pesa?
 
Vyuma vinakuja.

IMG_0189.jpeg
 
Natamani nijue hivi shirika la mwendokasi "dart" ndiyo linakaribia kufa..? Nauliza hivi kwakuwa magari yanazidi kuchoka na hayaletwi magari mbadala shirika linatoa huduma mbovu bora hata ya daradara unakuta mfano kituo cha gerezani utakuta mfano foreni ya watu wanaosubiri kwenda kimara ipo kubwa lakini unakuta magari yamepaki madereva wanapiga story

Kama magari ni mabovu kwanini wasitoe taarifa kwa abiria watafute usafiri mbadala?

Pia huu mfumo wao wa kadi za mwendokasi wanadai ununue kadi kwa 5000 kisha ndiyo uweke pesa kwanini wasitoe kadi bure alafu tukalipia nauli? Au kwann wasiweke bei ya kadi ikawa angalau tsh 1000 kama kadi tunazotumia kukata tiketi za kuangalia mpira? Ukiichukua kadi ya tsh 1000 ya kuingilia uwanjani kuangalia mpira ni bora kuliko kadi ya 5000 ya mwendokasi kwanini wasitoe kadi bure sisi tukajaza pesa?
Ulikwisha ona biashara inakufa kwakuzidiwa na wateja?,then mwendokasi ndio ya kwanza duniani yaani inakufa huku demand ikiwa juu zaidi lkn unaambiwa serikali haina hela mpk ubia waingie hii nimeiona TZ pekee hakuna kwingine
 
Ulikwisha ona biashara inakufa kwakuzidiwa na wateja?,then mwendokasi ndio ya kwanza duniani yaani inakufa huku demand ikiwa juu zaidi lkn unaanimbiwa serikali haina hela mpk ubia waingie hii nimeiona TZ pekee hakuna kwingine
Nikisema tatizo Tanzania ni moja, ujinga tu, watu wananipinga.

. Kwa hali kama hiyo kwanini yasimilikishwe shirika binfsi au la nje waendeshe?
 
Siku zinasogea tutashuhudia mengi.
Kwa sasa kuna baadhi ya fito ni ngumu kuzichomoa. Zikichomoka zote ndio atapewa yule jamaa.
 
Back
Top Bottom