Hivi Mwigulu analichukuliaje Taifa la Burundi

Hivi Mwigulu analichukuliaje Taifa la Burundi

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Huwa najiuliza kipindi kile tunahoji utitiri wa tozo na makato kwenye mitandao ya simu inavosababisha maisha magumu Kwa Watanganyika

Mwigulu alitujibu tuhamie Burundi

Hii kidplomasia ipoje
Kwamba Burundi ndo Taifa la dampo ya watu masikini

Wa Burundi wanaonaje hili suala
Yaani waziri wa Taifa jirani kudharau Taifa huru lenye bendera na Rais wao, hii si dharau kubwa

Sawa Burundi tumewazidi maendeleo ila inatakiwa tuwape heshima kama na sisi wanaotuzidi uchumi wanavo tuheshimu

Mbona sijawahi kusikia raia wa Kenya, Egypt, Angola, USA n.k wakohojiwa na wananchi wao na waziri awajibu kama wana shida wahamie Tanzania
 
Sawa! mwigulu Nchemba alisema Hivyo, kwani utamfanya nini?
Kuna viongozi wengi tu wanajiropokea(ga) vyovyote vile wakijua, kwa TZ, hakuna atakayewafanya lolote lile.
Tanzania Siyo Kenya.
 
Sawa! mwigulu Nchemba alisema Hivyo, kwani utamfanya nini?
Kuna viongozi wengi tu wanajiropokea(ga) vyovyote vile wakijua, kwa TZ, hakuna atakayewafanya lolote lile.
Tanzania Siyo Kenya.
Nimekuelewa sana mkuu
 
Cheo huwa kinaleta kiburi cha ajabu, inatakiwa kuwa makini sana

Proverbs 16:18
[18]Pride goes before destruction, And a haughty spirit before a fall.
 
Back
Top Bottom