1.Mabasi yanajaza kupita uwezo,ushahidi Upo, ni juzi tu nimesafiri kuelekea mbeya kwa basi mojawapo,wanaweka ndoo kibao. Traffic wanapewa chao mambo yanaenda kama kawaida
2. Kuna gari aina ya noa, zimebadilishwa na kuwa za abiria. Kiuhalisia ile gari ina capacity ya watu 8 ila inabeba 10. Traffic wanakagua ticket na magendo wanaona kuzidisha abiria ni sawa.
3. Nauli siku hizi wenye magari ndo wanapanga na sio Sumatra kama awali. Mfano barabara kama haikuwa na lami then ikawekwa lami tunategemea nauli zipungue ila unakuta inabaki palepale au inapanda zaidi. Yapo mengi sana hadi yanakera
My take; serikali inapaswa kuiangalia Sumatra upya. Iwe strict kwani uzembe wa chombo hiki unagharim nguvukazi ya taiga.
2. Kuna gari aina ya noa, zimebadilishwa na kuwa za abiria. Kiuhalisia ile gari ina capacity ya watu 8 ila inabeba 10. Traffic wanakagua ticket na magendo wanaona kuzidisha abiria ni sawa.
3. Nauli siku hizi wenye magari ndo wanapanga na sio Sumatra kama awali. Mfano barabara kama haikuwa na lami then ikawekwa lami tunategemea nauli zipungue ila unakuta inabaki palepale au inapanda zaidi. Yapo mengi sana hadi yanakera
My take; serikali inapaswa kuiangalia Sumatra upya. Iwe strict kwani uzembe wa chombo hiki unagharim nguvukazi ya taiga.