Hivi na Jezi za Real Madrid, PSG na Liverpool FC yangu nazo pia zina Picha za Maghorofa, Vifusi, Nyasi, Swala na Mafuriko ya Jangwani?

Hivi na Jezi za Real Madrid, PSG na Liverpool FC yangu nazo pia zina Picha za Maghorofa, Vifusi, Nyasi, Swala na Mafuriko ya Jangwani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Popote pale ulipo Uliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymail ( Raia wa Ubelgiji ) Hongera sana kwa Maono yako na Kuwaita Nyani, Mbwa na Sokwe.

Eti kwakuwa Tajiri ana Kijiofisi chake Ghorofani pale Salamander Posta nae akalazimisha Jengo liwemo katika Jezi na kama isingewekwa kuna Uwezekano Mishahara ya Wachezaji kwa Mwezi Wanachama wangetembezewa Bakuli ili Wachange na Wawalipe.

Kaeni tayari kwa Jezi za Chuo Kikuu cha Soka ( Mpira ) Tanzania Simba SC kuanzia Wiki ijayo na huenda Wengine mkajifunza ili mwakani msije tena na 'Jezi Kituko' zenu kama za Leo.
 
Safari hii ni kuwakarisha tu kuanzia Mataji mbaka jezi.
Mbumbumbu fc wao wanaendelea na jezi zao, wamebandua Kwa pasi Sport pesa wame weka Kwa gundi M Bet.
Nani alitegemea Simba wangekua na Hali mbaya kiasi iki!! maisha yanakwenda Kasi sana.
 
Safari hii ni kuwakarisha tu kuanzia Mataji mbaka jezi.
Mbumbumbu fc wao wanaendelea na jezi zao, wamebandua Kwa pasi Sport pesa wame weka Kwa gundi M Bet.
Nani alitegemea Simba wangekua na Hali mbaya kiasi iki!! maisha yanakwenda Kasi sana.
Wewe ni moja wa misukule waliojengewa nyumba kwenye zile jezi?
 
Popote pale ulipo Uliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymail ( Raia wa Ubelgiji ) Hongera sana kwa Maono yako na Kuwaita Nyani, Mbwa na Sokwe.

Eti kwakuwa Tajiri ana Kijiofisi chake Ghorofani pale Salamander Posta nae akalazimisha Jengo liwemo katika Jezi na kama isingewekwa kuna Uwezekano Mishahara ya Wachezaji kwa Mwezi Wanachama wangetembezewa Bakuli ili Wachange na Wawalipe.

Kaeni tayari kwa Jezi za Chuo Kikuu cha Soka ( Mpira ) Tanzania Simba SC kuanzia Wiki ijayo na huenda Wengine mkajifunza ili mwakani msije tena na 'Jezi Kituko' zenu kama za Leo.
Jezi mbaya ya Yanga inakuwasha wewe usio husika nayo kiherehere ni ugonjwa get well soon
 
Wenye akili niwale wanaotumia jezi za zamani Kwa kubandua Sport pesa na kuweka M bet.[emoji2][emoji2]
Ila kile kitendo kiukweli kimeonesha simba ni timu ya tia maji tia maji!

Yaani usitishe mkataba na sportpesa! Then unaingia mkataba mpya na M-Bet! Halafu unabandua nembo ya sportpesa kwenye jezi ya mchezaji, na kuweka nembo ya Mbet kwa juu yake!

Huu si ushahidi wa wazi kabisa hao M- Bet wameingia mkataba wa mali kauli!
 
Kwahiyo kama timu ya Madrid Ina mashoqer na Simba ni mashoqer?. Fungua kichwa acha kuwa choqo, huwezi hata kutengeza kitamba cha jicho lako hilo huko nyuma😂.
 
Jezi mbaya kusema kweli mapicha kila sehemu kama mabatiki au vitenge majumba nyasi mabanda ya kuku vichaka baa ndondi rede tenis kwa mwaka huu vinyesi FC mmebugi tuseme kweli sasa lile sanamu la posta linafata nini katika jezi jamani
 
Safari hii ni kuwakarisha tu kuanzia Mataji mbaka jezi.
Mbumbumbu fc wao wanaendelea na jezi zao, wamebandua Kwa pasi Sport pesa wame weka Kwa gundi M Bet.
Nani alitegemea Simba wangekua na Hali mbaya kiasi iki!! maisha yanakwenda Kasi sana.
'mbaka' [emoji3][emoji3]
 
Safari hii ni kuwakarisha tu kuanzia Mataji mbaka jezi.
Mbumbumbu fc wao wanaendelea na jezi zao, wamebandua Kwa pasi Sport pesa wame weka Kwa gundi M Bet.
Nani alitegemea Simba wangekua na Hali mbaya kiasi iki!! maisha yanakwenda Kasi sana.
Nakazia
 
Back
Top Bottom