agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Ile sofa yako umenunua shingp?😀😀Kuna thread niliweka huku kuhusu mtu anakuja kwako anataka kujua kila kitu bei gani na umenunua wapi, wengi hawakuniekewa.
Mtoto mzuri hujambo?
Uliipenda sana eeh? Maanake ulipata usingizi kabisaIle sofa yako umenunua shingp?😀😀
Hao ni wanyakyusa!
Akikupa hiyo hela ukamnunulie na umetaja bei sio halisi?Watajie bei ya chini ili awe na kihelehele cha kwenda kuuliza akirudi mikono nyuma hawezi uliza tena
Sijambo mkaka mzuri..Mtoto mzuri hujambo?
Yanii!!! Nzuri Sana'a.Uliipenda sana eeh? Maanake ulipata usingizi kabisa
Unamwambia akanunue mwenyewe. Anaanzaje kukutuma ukamnunulie kitu?Akikupa hiyo hela ukamnunulie na umetaja bei sio halisi?
Dada wewe Mnyakyusa?Chuki binafsi
chunga mikono yako mkuu😠😠Hao ni wanyakyusa!
Dada wewe Mnyakyusa?
Halafu kuna ndugu wengine wakija kwako lazima walale bila umuhimu wowote yaani just mpka alale tu. Yaani unajiuliza sasa temeke na tegeta wazo kuna umbali gani mpaka mtu alale..tena ni mjini magari yapo kwa SAA 24 lakini atatumia uzoefu wake wote mpaka alale...ndugu wacha kabisaa...
Chuki na nani?Chuki binafsi
Hamna tatizo lolote ila kila ukija lazima ulale na unakuta mazingira siyo rafiki kiviiile hiyo haikubalikiJamani kwani kulala kwa ndugu ni tatizo?
Sioni ubaya mtu kaja ijumaa ikifika jumapili anaondoka, tujitahidi kupendana.
Mmh wanyakyusa,hawana uswahili huo kabisaaHao ni wanyakyusa!
Wewe jamaa niajeeehahaa yaani wakyusa hawafai au !??