Hahahahahahah LOL! Aisee nimecheka sana 🙂🙂....nikawa napiga picha kama wote hawa wangekuwa ni watu wazima basi hii moja kwa moja ingekuwa ni sexual abuse...halafu kijana akawa anaweka mkwara kama wakutaka kupiga push up LOL!
Ilikuwa zako eh?
Mkuu vipi na wewe enzi zako ulikuwa unawapigia push ups?
Hapana bana ila kuna mmoja alinisumbua sana LOL! mpaka nikakata tamaa lakini nikaendelea kumsumbua tu pamoja na kukata tamaa...(Tulikuwa majirani) siku moja akapita nikamuita akaja...nikamshika mkono nikamwambia naomba busu moja tu popote pale apendapo akalalama sana kwamba atachelewa kwao ataulizwa alikuwa wapi saa zote hizo na mimi naendelea tu kuomba busu moja...basi akasema niachie mkono nitakupiga busu...sasa kumbuka mimi niliomba busu moja tu popote pale hata mkononi LOL!...nikapigwa busu tatu kwenye mashavu yote na paji la uso...duh! nilipata raha sana siku ile....basi penzi likaanza rasmi tukawa kama kumbi kumbi...marafiki wa karibu walimuita limbwata hahahahahah lol!
Hahaaaaa. sentimita 10 tuu.
Ulikuwa na lako tuu.
Hapana bana ila kuna mmoja alinisumbua sana LOL! mpaka nikakata tamaa lakini nikaendelea kumsumbua tu pamoja na kukata tamaa...(Tulikuwa majirani) siku moja akapita nikamuita akaja...nikamshika mkono nikamwambia naomba busu moja tu popote pale apendapo akalalama sana kwamba atachelewa kwao ataulizwa alikuwa wapi saa zote hizo na mimi naendelea tu kuomba busu moja...basi akasema niachie mkono nitakupiga busu...sasa kumbuka mimi niliomba busu moja tu popote pale hata mkononi LOL!...nikapigwa busu tatu kwenye mashavu yote na paji la uso...duh! nilipata raha sana siku ile....basi penzi likaanza rasmi tukawa kama kumbi kumbi...marafiki wa karibu walimuita limbwata hahahahahah lol!
nilikuwa na langu kwa kweli.
Ila nilikuwa naogopa mat.usi, hapo tu.
Haya bana. Sitaki nataka.
matusi ndiyo nini!? 🙂