Hivi na nyie mnamfagilia sana Stan Bakora?

dogo_mjuaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2015
Posts
222
Reaction score
48
Katika wasanii wanaojiita ma wachekeshaji sio kama Stan Bakora anastahili, mbona me hata hajawahi kunichekesha.

Nadhani hana kipaji ile umaarufu ni wa kutengeneza tu ukichangiwa na kick.

Au mwenye kazi zake ambazo anahisi nitapagawa nazo nimkubali anirushie kwa whatsapp 0653610047.

Shukrani wakuu

Hongera mashujaa wetu siku ya mashujaa Tanzania
.
 
Ni mchekeshaji wa mastaa wa kike,bongo so kama akizungumza usipofurahishwa Jua umeipwelepweleta iyo chekesho ake so we komaa na majuto,ama nin!!?
 
Duh maisha yako kasi sana na bila unafiki hayaendi tehee tehee na bado unaomba vichekesho vyake utumiwe.
 
Dogo namkubali ukiacha hm kwao Moro wanavomkubal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…