Hivi nani aliwadanganya Mkivaa Mawigi na kubandika kucha munapendeza?

Hivi nani aliwadanganya Mkivaa Mawigi na kubandika kucha munapendeza?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Kama unabandika kucha na kuvaa Mawigi, juwa watu wanakuona mjinga kibiriti ngoma.

Wanaokuambia umependeza wanakuinjoy tu.

Fake fake fake fekero.. Wavaa Mawigi mtakufa mumesimama. Kwanza hamuogi kichwa, mnaoga kuanzia shingoni kwenda chini.

Uchafu tu umewajaa
 
ata mm cjui ni kwa nn,nadhani ni kuiga tu hamna namna
 
Kuna mwanamke unakutana nae mpaka unahisi ni wakala wa jini.
 
Kwanza kwenye harusi yale ma-make up wanapaka wanakua kama wadudu..cheki mke wa Mo hussein (Simba Sc) aliaibika sana ila bila makeup ni mzuri sana. God damn!!
 
Jaman kila mtu na mapenz yake, lkn yoooote hayo weng wao ufanya ili waonekane warembo na iman yao kuwa wanakuwa warembo.

Tuunge mkono juhud zao, na wanaume n wanafki mnoo, wao ndo vyanzo vya yoote. Watu wanatoka kwny uhalisia na kuanza kupambanaa, wengine walikuwa weus sasa wamepita had wazngu hiyo yote n wanaume. Inaskitisha
 
Na hatuachi, jinyongeni sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Thanks
Reactions: 5ty
Salaam Wakuu,

Kama unabandika kucha na kuvaa Mawigi, juwa watu wanakuona mjinga kibiriti ngoma.

Wanaokuambia umependeza wanakuinjoy tu.

Fake fake fake fekero.. Wavaa Mawigi mtakufa mumesimama. Kwanza hamuogi kichwa, mnaoga kuanzia shingoni kwenda chini.

Uchafu tu umewajaa
View attachment 1997189
Kila mtu ana uhuru wa kuwa na muonekano anaotaka kama hupendi wakataze watoto wako wa kike au kama na we ni KE usivae. Kuna wengine tunaona wakivaa hayo mawigi na kubandika kucha wanapendeza kama hupendi ni wewe mtazamo wako
 
Ukisema utaambiwa unakwepa gharama na majukumu yako,ila ukiona barabarani wamevaa hayo mawigi unawapenda sasa kwann hutaki wakwako avae?

Kiukweli mm nimesema nimesalimu amri nimeamua kukaa kimya tu tusogeze siku maisha yaendelee..ila kiukweli nakereka sana na hayo madude yao..

Ila sasa nikiona mwanamke amesuka twende kilioni safi,hajapaka hayo mawanja sijui maLip shines,mawigi na makorokoro mengine moyo wangu huwa unabadili kasi na uelekeo wake na kuwa wa juu zaidi..

Hata nikiwa Old Trafford na mwanamke wa hivyo nashangaa hata nguvu za urijali zinaongezeka mana huwa najihisi Niko na mwanamke halisi..

Unakuwa na MTU unashindwa kujua anachokimiliki yeye hasa ni nini mana kila kitu sio chake,unapata mashaka pengine hata huko chini huenda ikawa ameazima pia..

Badilikeni bhana mnatuboa sana nyinyi kina Eva..
 
Back
Top Bottom