Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zelensky ni maskini Jeuri 🐒Kumekuwa na maneno mengi sana eti zelensky mchekeshaji au comedian. Mi nasema hapana kwa jinsi ambavyo kaonesha uwezo mkubwa dhidi ya trump.
Sasa nani anapaswa kuwa comedian kati ya hao wawili
Ana uwezo mkubwa sana kumzidi trumpZelensky ni maskini Jeuri 🐒
Both of them are idiot
Yes,Ana uwezo mkubwa sana kumzidi trump
Uwezo gani wa kuuwa raia wake kwa tamaa zake binafsiKumekuwa na maneno mengi sana eti Zelensky mchekeshaji au comedian. Mi nasema hapana kwa jinsi ambavyo kaonesha uwezo mkubwa dhidi ya trump.
Sasa nani anapaswa kuwa comedian kati ya hao wawili
Foreman : Kijana ni nani aliyekupa hii kazi, mbona jina lako silioni k
Imenikuta hii.. Tena nikiwa nna degree kabisa fresh....Foreman : Kijana ni nani aliyekupa hii kazi, mbona jina lako silioni kwenye orodha?
Ccm ndio comedian wa kwanza ambao wote wanaochangia hapaKumekuwa na maneno mengi sana eti Zelensky mchekeshaji au comedian. Mi nasema hapana kwa jinsi ambavyo kaonesha uwezo mkubwa dhidi ya trump.
Sasa nani anapaswa kuwa comedian kati ya hao wawili
Alooo boss wake Mungu anamuonaForeman : Kijana ni nani aliyekupa hii kazi, mbona jina lako silioni kwenye orodha?View attachment 3258032
Anatoa misaada kwa masimangoTrump mlazimishaji wa mambo, anapenda ubabe na analofikiria anataka lifanikiwe by any means. Anaamini hakuna taifa kama Marekani hata kama mengine yatachipuka na yote juu ya yote anapenda amani kwa faida ya Marekani. Business person as usual
Wewe tukupuuze ni uwezo gani aliouonyesha zelensk kutaka kujiunga nato au hauna jioya naweweKumekuwa na maneno mengi sana eti Zelensky mchekeshaji au comedian. Mi nasema hapana kwa jinsi ambavyo kaonesha uwezo mkubwa dhidi ya trump.
Sasa nani anapaswa kuwa comedian kati ya hao wawili
Hahaha Trump BwegeAnatoa misaada kwa masimango
Angekuwa na akili angeipinga NATO mwanzoni isimwingize kwenye vita ambavyo haina ubavu navyo.Mkuu Zelensky ana akili kubwa ambayo wengi hawana. Binafsi nampongeza japo trump aliamua kumvua utu wake. Zelensky amefanikiwa kumkata makali na speed Trump.