Hivi nanyi mmebahatika anayeyajua mapenzi kama huyu wangu?

Vizuri, basi umuoe kama bado hujamuoa
 
Ametoka Tanga huyo
 
Huyo ndo demu sasa sio wale dk 15 tu anaanza 'nimechoka babe' shoo mbovu halafu ukute ni mtu wa vizinga inakera
Hahahah dem anawahi kuchoka balaa af mizinga kama kawaz. Kuna wanawake wamejaaliwa visima vya asali na wanajua kuvitumia haswa. Unakula hadi unashiba na still anakutamanisha ule tena.
 
Kuna wanawake wamejaaliwa visima vya asali na wanajua kuvitumia haswa. Unakula hadi unashiba na still anakutamanisha ule tena.
Hahaa hawa wanawake ndio wanaojua nini maana ya mapenzi anataka wote muinjoi, amini baada ya game na hawa wa aina hii lazima kumbukumbu nzuri za utundu wake zibaki akilini mwako kwa muda mrefu
 
Hahaa hawa wanawake ndio wanaojua nini maana ya mapenzi anataka wote muinjoi, amini baada ya game na hawa wa aina hii lazima kumbukumbu nzuri za utundu wake zibaki akilini mwako kwa muda mrefu
Mie ni aka 6 zishapita ila still i feel the same on her beauty. Hisia ziko level na siwezi sahau, siku nikiingia mkoa lazma nikamle tena
 
Nje ya yote,ndugu yetu kwa mama j ni mchepuko tu hata yeye anahitaji mwenza wake nje ya uchepuko๐Ÿ˜…

Atufanikishie wengine tukaone kama yaliyomo yamo.๐Ÿ˜‚
Unaweza kuwa nae wewe na usiyaone aliyosema DeepPond kuna huyu kupenda roast, mwingine ya kuchoma mwingine supu lakini zote ni nyama sijui unanielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ