Hivi nanyi mmebahatika anayeyajua mapenzi kama huyu wangu?

Nna experience ya ndoa 1 mke libido is at 99% mume sasa kimoko kalala...... dada haelewi what is happening.... mambo ni mengi sana ndoani
😂😂😂😂Huyo bidada kazi anayo huo mtihani walahi, kutoka nje ni kugusa tu hapo, na huko nje nako si salama kabisa kuna mengi, kama anaipenda ndoa yake achome sindano za kumpunguzia ashki
 

Huenda mmekutana wagonjwa watupu upstairs
 
😂😂😂😂Huyo bidada kazi anayo huo mtihani walahi, kutoka nje ni kugusa tu hapo, na huko nje nako si salama kabisa kuna mengi, kama anaipenda ndoa yake achome sindano za kumpunguzia ashki
Afu maex nje hawakaukiiiii wanamtaka kwa udi na uvumba.... anampenda mumewe maskini kajinunulia vibrator maisha yaende
 
Afu maex nje hawakaukiiiii wanamtaka kwa udi na uvumba.... anampenda mumewe maskini kajinunulia vibrator maisha yaende
Kuna wakati vibrator itamkinai we mtu ni mtu tu, unapatomaswa huku unakunwa,, sasa vibrator mh kuna wakati utamu unanoga hata mikono haiwezo kukamata kitu, huambiwi maneno maneno yale, hupewi pole, na maji je litayatoaje hilo vibrator,, ana mateso sana sio siri,,

Ni rahisi kuwa mwaminifu km hupati dudu kabisa kuliko unachokonolewa kidogo bila nyege kumalizwa,,
 
Unataka mashine 24/7 olewa na dam changa isio na mambo mengi. Utakazwa hadi maji utaita mma hawa wenye majukumu mengi ndio kimoko chali. Wanatafta hela tu
 
Mi nmemuweka kwenye maombi hamna namna
 
Kuna maeneo anafanya vyema ndio maana alimuoa, hilo la kitandani ni exceptional. Tunanunua Toyota sababu ziko reliable ila gari za kufurahisha mioyo yetu ni za mjerumani [emoji23][emoji23][emoji23] sema maintanance yake ni kero.
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…