Uchaguzi 2020 Hivi nawaza ikatokea Membe akagombea kupitia CHADEMA 2020

good.ILA MEMBE HATOKI CCM ANABAKI HUKO HUKO MKUU.
 

You can't be serious!

Demokrasia ipi wakati ndani ya chama chake tu kuna ukiukwaji wa demokrasia na haongei wala.

Visionary ipi mbona haionekani kwenye taasis ambayo yeye ni kiongozi?
 
Ni wakati wa CDM kuona sasa nani anafaa kuwa mgombea wa urais ktk chama,
Wajipime kama wanahitaji mtu kutoka nje ya chama au laaa.
 
Hana mvuto
 
Kama Chadema watamchukua awe Mgombea Urais wao litakuwa jambo jema kwa CCM. Ila Ndugu Membe hajawahi kuwa na strategies zozote wala kuwa na strategists wazuiri. Angelikuwa nao, leo ndie angelikuwa Rais wa JMT. Au aliwapata baada ya kushindwa kwenye kinyang'anyiro cha kutafuta Mgombea Urais ndani ya CCM? Maana nakumbuka alizidiwa na Fatma Said Ally, Dk. Asha-Rose Migiro na Jiwe lenyewe! Ahahahahhhh!
 
He
 
Leo ni kumbukumbu ya miaka 100 tangu azaliwe na kufariki baba wa taifa.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…