Hivi naweza kufanya mazoezi

Kichwa Ngumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,726
Reaction score
314
Hi JF
nina mke na kila siku kwa mke wangu napata mshindo mmoja (napiga bao moja)
katika hali hiyo naweza kufanya mazoezi ya viungo kama kukimbia, kunyanyua chuma na nk
 
Kwanini usiweze?!
Wewe tu...fanyisha mwili mazoezi huo.Mazoezi ni afya....
 
Hi JF
nina mke na kila siku kwa mke wangu napata mshindo mmoja (napiga bao moja)
katika hali hiyo naweza kufanya mazoezi ya viungo kama kukimbia, kunyanyua chuma na nk

Kiwango chako ni cha chini sana.
 
Hi JF
nina mke na kila siku kwa mke wangu napata mshindo mmoja (napiga bao moja)
katika hali hiyo naweza kufanya mazoezi ya viungo kama kukimbia, kunyanyua chuma na nk
Mkuu, mbona hiyo aina uhusiano na mazoezi.
Watu wanapiga mishindo minne mpaka mitano na mazoezi wanafanya kama kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…