Hivi naweza kuingiza pesa kiasi gani kwa biashara hii?

abdulhamis

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
1,436
Reaction score
2,296
Wadau napenda kuuliza hivi nikifungua biashara ya huduma ya uwakala wa kutuma miamala na ofisi yangu ikawa na huduma hizi kwa makadirio ya chini naweza pata bei gani kwa mwezi?

Tigopesa
Mpesa
Halopesa
Airtel money
CRDB agent
NMB agent
Western union
Na zingine kama mbili ivi

Wataalam na wazoefu wa izi kazi Mnisaidie
 
Kuna uzi humu jamaa anaingiza mil1 kama sikosei kwa mwezi.
Embu utafute tafute utakusaidia sana.
 
Kuna uzi jamaa anaingiza 1.5M na baadhi ya huduma ulizoweka hafanyi So hapo unaweza kula 2M ukipata sehemu ya dhahabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…