Kubembelezwa pakiwa pa upande mmoja tu kila mara panaboa bana.Oohh jamani
nimeipenda story
yako kweli..
THIS IS REALY LOVE
mmbeleze mama bwana
Rahaa kweli kama mwanaume wako
akiwa anakudekeza
Borea hata huyu
Anataka kubembelez wa
tu..mmmhhh ungempata
Yule mpaka BM ndo mtapatana..
Kesho rudi home
Mapema mpikie,weka
wine juu yA meza
A bunch of Rosess ,
Mishumaa mmmhhh..
Yes u do have teenager love..
Look after her..
Ps. .sijaolewa natarajia..
Samahani maana ulisema kwa walio olewa tu..
Nimejaribu kumchunia hadi sasa nahisi kama vile naanza kumchukia
mna muda gani wapendwa wkenye hii ndoa? coz naona mdada bado hajapata purukushani za ndoa huyu acdhani vitu viogo kama hivi vitakuwa na nafac huko mbeleni, ni jambo dogo sana hili kweny hii game...ana kasumba zake huyo zitakuja kumuisha tu cku zinaposonga mbele mwenyewe atakuw anajibembelezesha.
Ni vizuri kama ushajua kuwa akinuna anahitaji kubembelezwa ili awe sawa.
Mbembeleze.
Kwani kumbembeleza inakugarimu nin?
Katika mapenzi wote mkitaka kujifanya mpo juu kama kikombe cha babu hamtafika popote.
Nimejaribu kumchunia hadi sasa nahisi kama vile naanza kumchukia
Habarini wandugu,
Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m mbona tunaweza kupata kwa mwezi 1 bila we kuchukua huo mkopo kazin?Nikamwabia tuweke bajeti ya pesa kwa ajili ya hivyo vitu unavyotaka then tutavinunua tu.Nikamwambia ipo siku tutajakwama na hapo ndo utachukua mkopo ila kwa sasa sababu hatuna shida ya haraka hivyo haina haja ya kuchukua huo mkopo japo huo mkopo hauna riba ila nikamwambia unaweza chukua leo hiyo 1.5m then baada ya mwezi ikatokea issue ambayo ni urgent inataka pesa tutafanyaje na kama kwa upande wangu mi nikiwa nimekwama kpesa?Kwa sababu mi sikuona umuhimu wa kuchukua hiyo pesa sana nikamwambia aache.Ghafla akabadilika akanza kununa huwa tunakula pamoja nikaona anatenga chakula kila mtu na sahani yake,usiku hataki hata nimsogelee.
Basi asubuhi nikamwambia isiwe tabu sababu mshahara ni wako fanya vile unataka sintokuuliza wala kukuambia chchote kuhusu mshahara wako.Ila toka juzi hatuko vizuri nikitoka kazin nikimsalimia anaitika kama hataki ki ukweli inanikera sana.
Na shida ni kwamba hii ndio tabia yake yaani mkitofautiana maneno kidigo atanuna hapo hadi mi nijifanye mjinga kumwambia mama acha kununa na ile na ile basi ndo uhusiano unarudi tena.Ila nataka nijaribu kuona trip hii nione mwisho utakuwaje coz najua anasubiria nimwambie mama acha kununa.
Naomba munishauri sasa nifayeje wanandoa wenzangu?
Tuna kama miaka 3 nyamayao ila ndo katabia chake kila tunapopishana maneno bila mi kushuka akieleweki.
Naamini siwezi kumchunga mtu mzima so huwa si hofu kabisa eti labda wife anakidume au lah ila naamini za mwizi 40.Uwe makini kdg,huenda kuna 'jamaa' kamwahidi kumpa,so anatafuta baraka zako kiaina 'while hiding her head in the sand' usije shangaa mabadiliko ya ghafla.Mkubalie/mtege auchukue muuweke bank mtapata hiyo interest.Check hiyo salary slip km ina deductions,km vp umeliwa.
mbembeleze, acha kuwa ngangari!!wanawake ndio walivyo na ndicho anachotaka. tena usiache fanya haraka. utapoteza ndoa ukichelewachelewa
Msaidizi tena!!! Atasababisha matatizo zaidi..Mtafutie msaidizi haraka vinginevyo atakuendesha sana
Inabidi uwe makini maana huwezi juwa..Naamini siwezi kumchunga mtu mzima so huwa si hofu kabisa eti labda wife anakidume au lah ila naamini za mwizi 40.
Sawa lakini huoni basi akizoea hivyo itakuja kuwa ndo tabia kwamba ye hatak kushauriwa ukipishana nae tu ye atakuwa ananuna sasa tutaenda hivyo mpaka lini sasa au mwisho wake ni nini?
Mh,huyo kuna jamaa anamlisha huko na kahitaji hela ndo mbinu ya kuzipata hiyo!
Ukimruhusu tu utasikia anakwambia kaibiwaUwe makini kdg,huenda kuna 'jamaa' kamwahidi kumpa,so anatafuta baraka zako kiaina 'while hiding her head in the sand' usije shangaa mabadiliko ya ghafla.Mkubalie/mtege auchukue muuweke bank mtapata hiyo interest.Check hiyo salary slip km ina deductions,km vp umeliwa.Mtafutie msaidizi haraka vinginevyo atakuendesha sana