Hivi ndivyo Ali Kiba na Saut Sol walivyo perform tuzo za Mtv

Hivi ndivyo Ali Kiba na Saut Sol walivyo perform tuzo za Mtv

bado majitu yanatukana, diamond take note hapo..usipafom na cd kama jana au kama umezoea hivyo basi fanya beat chorus yenye vi backup kwa chini,verse uimbe live,sio kila sehem watu wajinga wenye ushabiki wa ki team utachokwa ndugu yangu
kama unapenda kucheza kuliko kuimba basi tengeneza special cd uimbe kidogo i break uweke beat ucheze weeeee mpaka uchoke lakini kwa ulichofanya jana ni aibu cd yenyewe ulikuwa unapishana nayo
 
Haha king kiba na hicho kiti chake jamani looh[emoji3][emoji3][emoji3]
 
kibakuli ana mbwembwe hatari, sijui kwanini huwa hajiamini akiona sura flan flan hivi
 
Dai domo bado kazi anayo kwenye live show. Watu hatukulipa pesa zetu kuja kuona anavocheza. Ni uwizi mtupu
 
Ni kweli Kiba aliimba na sauti Sol. Lakini performance yao ilikuwa the best ukilinganisha na yule dansa wa tandale
Hujanijibu swali kwa nn hakuimba wimbo wake au aliogopa audience akaomba back up kutoka sauti Sol

Hajaonyesha ubora wake angeimba wimbo wake
 
Hujanijibu swali kwa nn hakuimba wimbo wake au aliogopa audience akaomba back up kutoka sauti Sol

Hajaonyesha ubora wake angeimba wimbo wake

Ali kiba hakuwa kwenye kinyang'anyiro chochote as single artist
 
Back
Top Bottom