Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
HIVI NDIVYO ALIVYOKUWA SHEIKH AHMED HAIDAR
Picha inasema maneno elfu moja.
Jicho la camera halisahau kile jicho la binadamu liliona.
Angalia picha hiyo hapo chini Sheikh Ahmed Haidar amekaa chini sakafuni anazungumza na aliyepata kuwa mwanafunzi wake, Mwalimu Hussein.
Hivi ndivyo alivyokuwa Sheikh Ahmed Haidar.
Maneno hayo hapo chini kaniandikia mwanazuoni mmoja baada ya kusoma taazia niliyomwandikia Sheikh Ahmed Haidar:
"Assalaam Alaykum Kaka,
Tunakushukuru kwa kazi hii ambayo huenda ikawa sababu ya Mwenyeezi Mungu kutusamehe kwa dhuluma tuliyomfanyia mwanachuoni huyu.
Mwanachuoni huyu amedhulumiwa heshima na hadhi yake.
Mwenyeezi Mungu Atusamehe.
Allaah Amrehemu na Amruzuku pepo.
ALLAAHUMMA AAAMIIIN."

Picha inasema maneno elfu moja.
Jicho la camera halisahau kile jicho la binadamu liliona.
Angalia picha hiyo hapo chini Sheikh Ahmed Haidar amekaa chini sakafuni anazungumza na aliyepata kuwa mwanafunzi wake, Mwalimu Hussein.
Hivi ndivyo alivyokuwa Sheikh Ahmed Haidar.
Maneno hayo hapo chini kaniandikia mwanazuoni mmoja baada ya kusoma taazia niliyomwandikia Sheikh Ahmed Haidar:
"Assalaam Alaykum Kaka,
Tunakushukuru kwa kazi hii ambayo huenda ikawa sababu ya Mwenyeezi Mungu kutusamehe kwa dhuluma tuliyomfanyia mwanachuoni huyu.
Mwanachuoni huyu amedhulumiwa heshima na hadhi yake.
Mwenyeezi Mungu Atusamehe.
Allaah Amrehemu na Amruzuku pepo.
ALLAAHUMMA AAAMIIIN."
