elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Na wewe umeamini kabisa kuwa bob ndiye mgunduzi wa bangi?Asante kwakunifahamisha kuwa kumbe Bob Marley ndio mgunduzi wa bange
Katika mapinduzi ya tiba kabla ya Waarabu Kihindi's cocaine kwa matumizi ya anaesthesia Wahindi walitumia pombe na bangi kumlewesha mgonjwa kabla ya upasuaji kufanyika. Hiyo ni miaka mingi BCbangi imeanza kuvutwa zaidi ya miaka 2727 BC Huko china ndio record ya harakaharaka iliyopo.
warumi,wagiriki enzi zao nao walikuwa na bangi kabla hata mimba ya Yesu kutungwa miaka mingi.
bob Marley katumia kitu kilichopo kilichojulikana hizo ni stori za kusukuma dakika mkuu.
Sifa za jukwaa la wakubwa ni zipi..nalisikia tu..Jukwaa pekee ambalo lina mambo sirias ni jukwaa la mambo ya kikubwa tu, huku kwengine ni komedi, masikhara na uongo wa wazi wazi.
Ishakua shida.