Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
huna macho bwanamdogoSioni hapo "kwa kishindo" naona bodaboda safari hii Wana neemeka na mafuta ya bure [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Mbona Mwambe alikuwepo ?Naona bodaboda sita hapo,hakuna wa kumshawisi mbowe awe mwenyekiti ni uamuzi wake mwenyewe kuwa mwenyekiti wa kudumu hayo mengine ni kiini macho eti huyu ndio Alie mshawishi agombee uenyekiti,wakumpinga mbowe au kumzuia Ni Nani kwa mfano
Rukwa/KataviJimbo la Kwela liko mkoa gani hilo?
ndo msimu wa siasa ulivyo kaka, tutaona na kusikia mengi tuombe uzima.Sioni hapo "kwa kishindo" naona bodaboda safari hii Wana neemeka na mafuta ya bure [emoji23][emoji1787][emoji2960]