Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kale ka nchi kadogo kanawaendesha kama nini tu!?Baada ya hapo Kagame alipoa kama maji mtungini!View attachment 3224729
Jenerali Mwamunyange alistaafu kwa heshima baada ya kuhudumu kama Chief of Defense Forces (CDF) wa Marais wawili Kikwete na Magufuli.More like, baada ya hii kauli Mwamunyange ndio akapotea kabisa kwenye public scene!!
Hivi nini kilimkumba huyu mzee, wenye kujua watuambie
Cc Pascal Mayalla Proved JokaKuu Chige
Mzee, umechanganya mafaili, si unaulizia kile kipindi cha mwanafunzi kusema "mpaka nimshike mkono ndo nitaamini..." sio?More like, baada ya hii kauli Mwamunyange ndio akapotea kabisa kwenye public scene!!
Hivi nini kilimkumba huyu mzee, wenye kujua watuambie
Cc Pascal Mayalla Proved JokaKuu Chige
Uko serious mzee? Au unadhani CDF ni muimba singeli bc kila muda umsikie?More like, baada ya hii kauli Mwamunyange ndio akapotea kabisa kwenye public scene!!
Hivi nini kilimkumba huyu mzee, wenye kujua watuambie
Cc Pascal Mayalla Proved JokaKuu Chige
Atakuwa aliona ukuniMTEMA KUNI KWANI ALIONA NINI?! 🧐 MAANA HII KAULI "UTAKIONA CHA MTEMA KUNI"
Zile tetesi za sumu zilikua na ukweli au propaganda za JF tu.Jenerali Mwamunyange alistaafu kwa heshima baada ya kuhudumu kama Chief of Defense Forces (CDF) wa Marais wawili Kikwete na Magufuli.
Mkuu kuna uzi humu ulizungukaga miaka hiyo ambapo Mwamunyange alikua haonekani in public hata kweye tafrija za kitaifa!! Ndio zikazuka tetesi za kupigwa sumu etc ila hazikuwa verified ndio maana nauliza wajuzi kama kuna lolote watupe info.Uko serious mzee? Au unadhani CDF ni muimba singeli bc kila muda umsikie?
Kwan mara yako ya mwisho kumsikia CDF Mkenda ni lini?
Ni moto tu braza,MTEMA KUNI KWANI ALIONA NINI?! 🧐 MAANA HII KAULI "UTAKIONA CHA MTEMA KUNI"
Slim hakusikika tenaBaada ya hapo Kagame alipoa kama maji mtungini!View attachment 3224729
Alipoteaje wakati alikaa na Rais Kikwete hadi akamaliza muda wake na kisha akaenda na Mwamba Magufuli? Baada ya kustaafu ulitaka awe roporopo kama Dk. Slaa?More like, baada ya hii kauli Mwamunyange ndio akapotea kabisa kwenye public scene!!
Hivi nini kilimkumba huyu mzee, wenye kujua watuambie
Cc Pascal Mayalla Proved JokaKuu Chige
Huyu mzee ana sauti ya ki askari kweli. You feel his tone akiongea.Baada ya hapo Kagame alipoa kama maji mtungini!View attachment 3224729