Hivi ndivyo jina la George weah mwanasoka bora wa Dunia,Ulaya na Africa mwaka 1995 lilivyompa fursa ya kupiga mkwanja bwana Ali Dia

Matanga

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2019
Posts
2,281
Reaction score
3,976
_

George Weah akitokea ligi ya Liberia,moja kwa moja hadi klabu ya Monaco,baadae kuelekea club ya Paris St Germain na kilele chake kilikuwa alipoelekea club ya Milani na kuwa Mfalme wa San Siro,huku akina del pierro wakimuona akitawazwa kuwa Mchezaji bora wa dunia wa mwaka 1995,Ulaya nao hawakuwa nyuma,wakamtangaza kuwa Mchezaji bora wa Ulaya wa mwaka 1995,huku nyumbani nasi tukasema igwee na kumtangaza Mchezaji bora wa Afrika wa Mwaka 1995.

Baada ya George Opong Weah kutangazwa kuwa Mchezaji bora wa dunia waafrika tukang'ara kwa jina la George Weah,Waafrika waliokuwa Ulaya na wengine toka Afrika wakaenda Ulaya na kujitambulisha wao ni wadogo wa George Weah kutoka Afrika ya Magharibi.Vijana wengi waliaminiwa kwa jina la George Weah na wengine kupata kazi na wengine kusajiliwa na vilabu vikubwa barani Ulaya.

Msenegali Ali Dia aliyefulia ulaya akiwa masomoni na kuamua kutafuta ada ya shule kitaa akiwa na mwanadarasa mwenzake wakaiona fursa kwa jina la George Weah Mwanasoka bora wa Dunia,Afrika na Ulaya.Ali Dia jina maarufu kabisa liliingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kama mchezaji mbovu kabisa kuwahi kutokea duniani baada ya kutumia fursa na kujipatia namba kwenye kikosi cha kwanza kwenye club kubwa kabisa nchini Uingereza,club ya Southampton.

Ali Dia alipangwa kuanza kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Arsenal lakini bahati mbaya barafu mechi ikahairishwa na kubahatika kuingia sub kwenye mechi ya ligi ya Uingereza dhidi ya Aston Villa,kwa hakika aliandika historia ya kucheza ligi ya Uingereza japo kwa wiki mbili na kutimuliwa na kulipwa juu,historia itamkumbuka kama mmoja wa waliopata kucheza kandanda nchini Uingereza kwenye club ya Southampton kwa kutumia jina la George Weah.

Ilikuwa mchana mtulivu nchini Uingereza kwenye jiji la Southampton, ikapigwa simu kwa Manager wa Southampton ikijitambulisha kama ni George Weah ikimuelekeza Manager wa Southampton kumchukua kijana binamu wa George Weah mwenye kipaji cha hali ya juu kwa jina la "Ali Dia" kwa kuwa ni ndugu yake yeye George Weah lakini pia ni mchezaji anayechipukia na mwenye kipaji sana.

Manager akaitikia Wito toka kwa "George Weah" Mfalme wa soka wa dunia katika mwaka huo wa 1995 na kumsajili Ali Dia kuingia moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza cha timu ya Southampton iliyokuwa ligi kuu nchini Uingereza,kumbuka simu hiyo haikuwa ya ukweli toka kwa George Weah bali ni rafiki wa Ali Dia ndiye aliyepiga simu hiyo kwenda kwa manager wa Southampton.

Mambo yalikuwa hivi kwenye waya huo aliovutiwa manager wa Southampton,..."Yes,this is George Weah calling from West Africa,introducing my cousin and a very talented young player Ali Dia,please give him the number" Manager wa Southampton akafurahi kupokea simu toka kwa Mfalme wa Soka wa dunia George Weah na akatii wito na kumtafuta kumsainisha mkataba moja kwa moja.

Mechi ya kwanza Ali Dia akawepo kwenye wachezaji wa akiba,bahati ikamdondokea mchezaji akaumia na ikawa nafasi ya kumuona ndugu wa "George Weah" akisakata kandanda kama la Mfalme wa Soka George Weah,Ali Dia aliingia uwanjani kama sub ye le tissier ,akizunguka uwanja mzima kama pimbi bila kugusa mpira,it was very embarrassing to watch how he was running na baada ya dakika ishirini akaomba kutolewa maana alikuwa amechoka!kumbe mpira hajui,ha ha haaa.

Watu walishangazwa sana hasa Manager aliyemsajiri na toka saa ile kikao kilikaa kuvunja mkataba wake,Mkataba wa Ali Dia ukavunjwa akalipwa pesa nyingi akaenda kumalizia degree yake ya Utawala na mwaka 2001 akapata Shahada yake ya pili ya Umahiri yaani Master's degree.Hivi sasa ni administrator mzuri kabisa uko Uingereza wakati Mfalme wa Soka George Weah hivi sasa ni Rais wa Nchi yake ya Liberia.Ahsante George Weah kwa kutupa heshima na fursa sisi Waafrika pale ulipotawazwa kuwa Mwanasoka bora wa Dunia,Afrika na Ulaya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ali Dia
Aly Dia[1][2] (born 20 August 1965), commonly known as Ali Dia, is a Senegalese former professional footballer who played as a striker. In November 1996, Dia convinced Graeme Souness, then Southampton manager, that he was the cousin of FIFA World Player of the Year and Ballon d'Or winner George Weah, which led to him signing a one-month contract with Southampton days later. Dia played only one match in his short spell at the club. He came on as a substitute in a league game, but was then himself substituted. He was subsequently released, 14 days into his contract.[3]
Ali Dia
Senior career*
Personal information
Full nameAly Dia
Date of birth20 August 1965 (age 54)
Place of birthDakar, Senegal
Height1.78 m (5 ft 10 in)
Playing position(s)Striker
YearsTeamApps(Gls)
1988–1989Beauvais
1989–1990Dijon
1990–1991La Rochelle
1991–1992Saint-Quentin
1993–1994Châteaubriant
1995FinnPa5(0)
1995PK-353(1)
1995VfB Lübeck2(0)
1996Blyth Spartans1(0)
1996Southampton1(0)
1996–1997Gateshead8(2)
1997Spennymoor United
* Senior club appearances and goals counted for the domestic league only

CareerEdit

After a playing career at the lower levels in France and Germany, and having already failed trials at Gillingham and Bournemouth, Dia joined non-league club Blyth Spartans, where he made only one substitute appearance – on 9 November 1996 in a Northern Premier League game against Boston United.[citation needed]
Days later, Dia was signed by Southampton manager Graeme Souness, after Souness received a phone call purporting to be from Liberian international and then-FIFA World Player of the Year, George Weah. "Weah" told Souness that Dia was his cousin, had played for Paris Saint-Germain, and had played 13 times for his country. None of this was true, and the phone call to Souness was made by a fellow university student of Dia's, suggesting that he should give Dia a chance with Southampton.[4] Souness was convinced, and Dia was signed on a one-month contract.
Dia played just one game for Southampton, wearing the number 33 shirt, against Leeds United on 23 November 1996; he had originally been scheduled to play in a reserve team friendly against Arsenal, but the match was cancelled due to a waterlogged pitch. In the match against Leeds, he came on as a substitute for the injured Matthew Le Tissier after 32 minutes, but was later substituted himself (for Ken Monkou) in the 85th minute;[5] Leeds won the match 2–0. Le Tissier said: "He ran around the pitch like Bambi on ice; it was very embarrassing to watch."[6][7][8]
Dia was released by Southampton two weeks into his contract.[3] He briefly played for non-league Gateshead, before leaving in February 1997.[3] Dia only played eight games for the North East outfit, including scoring on his debut in a 5–0 win over Bath City.[9]

Personal lifeEdit

Dia studied business at Northumbria University in Newcastle, graduating in 2001.[10] He received a Master of Business Administration from San Francisco State University in 2003.[1] He has a son, named Simon, who plays football for Police Tero.[1]

LegacyEdit

Dia has regularly featured in lists of bad players or bad transfers.[3][11] He was named at Number 1 in a list of "The 50 worst footballers" in The Times newspaper[12] and at Number 4 in a list for the Top 50 worst strikers according to the Daily Mail.[13]

See alsoEdit

ReferencesEdit

External linksEdit


Last edited on 3 July 2020, at 13:42


Content is available under CC BY-SA 3.0 unless otherwise noted.
 
Mbwana Ally Samata na Yikpe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…