Hivi ndivyo mmoja kati ya wanafunzi wa kidato cha 4 alivyojibu mtihan wake wa kiswahili.

Hivi ndivyo mmoja kati ya wanafunzi wa kidato cha 4 alivyojibu mtihan wake wa kiswahili.

Hepatis B

Senior Member
Joined
Feb 11, 2013
Posts
193
Reaction score
155
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-

KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.

PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.

TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.

NNE ; weka mdahalo wako jikoni kisha uache uchemke kwa dakika kumi hadi kumi tano .

TANO; mdahalo wako ukiwa tayari uepue.

SITA; mdahalo huu unaweza kunywa na kinywaji chochote...

@copy&paste#..[/h]
 
Hebu nipatie picha za ile michoro waliyochora hawa wanafunzi
 
Nae analalamika eti NECTA imewafelisha poa sio mbaya akwenda mbali sana na jibu
 
Nae analalamika eti NECTA imewafelisha poa sio mbaya akwenda mbali sana na jibu
lakini kama alikuwa haelewi au hajui hata huo mdahalo wenyewe ni nini kosa ni la nani?? pengine yeye hajawahi hata kusikia mdahalo ni kitu gani na kwa akili yake ya haraka haraka (unajua tena ukiwa kwenye pepa) na jinsi swali lilivyoulizwa (hatua za KUANDAA mdahalo) akajua pengine ni kitu kama chakula hivi...mi kwa upande mwingine simlaumu..inawezekana hakuwahi kabisa kufundshwa/kusikia kitu kinaitwa mdahalo! kuongea kiswahili si kujua kiswahili mkuu!!
 
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-

KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.

PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.

TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.

NNE ; weka mdahalo wako jikoni kisha uache uchemke kwa dakika kumi hadi kumi tano .

TANO; mdahalo wako ukiwa tayari uepue.

SITA; mdahalo huu unaweza kunywa na kinywaji chochote...

@copy&paste#..[/h]

Inasikitisha sana na kisha inachekesha kama jokes vile.
 
Kwa jinsi alivyojibu UWEZO ANAO!
tatizo ni kwamba hakufundishwa!
Hajui nini maana ya mdahalo!
Lawama zinawaendea waliopewa dhamana ya kumfundisha!
 
tujaribu kuwa karibu na watoto wetu hii itatusaidia sana kujua uelewa wao
 
lakini kama alikuwa haelewi au hajui hata huo mdahalo wenyewe ni nini kosa ni la nani?? pengine yeye hajawahi hata kusikia mdahalo ni kitu gani na kwa akili yake ya haraka haraka (unajua tena ukiwa kwenye pepa) na jinsi swali lilivyoulizwa (hatua za KUANDAA mdahalo) akajua pengine ni kitu kama chakula hivi...mi kwa upande mwingine simlaumu..inawezekana hakuwahi kabisa kufundshwa/kusikia kitu kinaitwa mdahalo! kuongea kiswahili si kujua kiswahili mkuu!!

Inawezekana ikawa kweli ila napata mashaka sana unaweza kukuta wengine wamepata hapo hapo ambako hawajafundishwa
 
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-

KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.

PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.

TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.

NNE ; weka mdahalo wako jikoni kisha uache uchemke kwa dakika kumi hadi kumi tano .

TANO; mdahalo wako ukiwa tayari uepue.

SITA; mdahalo huu unaweza kunywa na kinywaji chochote...

@copy&paste#..[/h]

mbavu zangu mie,oooh tate naneee!:-D:-D:-D
 
Kwa jinsi alivyojibu UWEZO ANAO!
tatizo ni kwamba hakufundishwa!
Hajui nini maana ya mdahalo!
Lawama zinawaendea waliopewa dhamana ya kumfundisha!

mkuu sidhani kama mwalimu anapaswa kubeba lawana kutokana na huyu mwanafunzi alivyojibu,tatizo la wanafunzi wa siku hizi wanakariri sana kiasi kwamba wakibadilishia kitu kidogo tu kwenye swali alilowahi kulisolve unakuwa umempoteza kabisa,pia siku chache kabla ya mitihani hulishana sana matango pori
 
mi siamini!!! ni swali la mtihani upi NECTA au,mbona hilo swali sijaliona???
 
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-

KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.

PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.

TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.

NNE ; weka mdahalo wako jikoni kisha uache uchemke kwa dakika kumi hadi kumi tano .

TANO; mdahalo wako ukiwa tayari uepue.

SITA; mdahalo huu unaweza kunywa na kinywaji chochote...

@copy&paste#..[/h]

Duu! kweli duniani kuna mambo.
 
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-

KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.

PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.

TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.


Hivi ni kweli hili swali lilikuwepo kwenye huo mtihani wa mwaka jana wa kiswahili au ni comedy tu hii
 
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-

KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.

PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.

TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.


Hivi ni kweli hili swali lilikuwepo kwenye huo mtihani wa mwaka jana wa kiswahili au ni comedy tu hii
ni comedy
 
Back
Top Bottom