Hepatis B
Senior Member
- Feb 11, 2013
- 193
- 155
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-
KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.
PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.
TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.
NNE ; weka mdahalo wako jikoni kisha uache uchemke kwa dakika kumi hadi kumi tano .
TANO; mdahalo wako ukiwa tayari uepue.
SITA; mdahalo huu unaweza kunywa na kinywaji chochote...
@copy&paste#..[/h]
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-
KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.
PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.
TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.
NNE ; weka mdahalo wako jikoni kisha uache uchemke kwa dakika kumi hadi kumi tano .
TANO; mdahalo wako ukiwa tayari uepue.
SITA; mdahalo huu unaweza kunywa na kinywaji chochote...
@copy&paste#..[/h]