lakini kama alikuwa haelewi au hajui hata huo mdahalo wenyewe ni nini kosa ni la nani?? pengine yeye hajawahi hata kusikia mdahalo ni kitu gani na kwa akili yake ya haraka haraka (unajua tena ukiwa kwenye pepa) na jinsi swali lilivyoulizwa (hatua za KUANDAA mdahalo) akajua pengine ni kitu kama chakula hivi...mi kwa upande mwingine simlaumu..inawezekana hakuwahi kabisa kufundshwa/kusikia kitu kinaitwa mdahalo! kuongea kiswahili si kujua kiswahili mkuu!!Nae analalamika eti NECTA imewafelisha poa sio mbaya akwenda mbali sana na jibu
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-
KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.
PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.
TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.
NNE ; weka mdahalo wako jikoni kisha uache uchemke kwa dakika kumi hadi kumi tano .
TANO; mdahalo wako ukiwa tayari uepue.
SITA; mdahalo huu unaweza kunywa na kinywaji chochote...
@copy&paste#..[/h]
lakini kama alikuwa haelewi au hajui hata huo mdahalo wenyewe ni nini kosa ni la nani?? pengine yeye hajawahi hata kusikia mdahalo ni kitu gani na kwa akili yake ya haraka haraka (unajua tena ukiwa kwenye pepa) na jinsi swali lilivyoulizwa (hatua za KUANDAA mdahalo) akajua pengine ni kitu kama chakula hivi...mi kwa upande mwingine simlaumu..inawezekana hakuwahi kabisa kufundshwa/kusikia kitu kinaitwa mdahalo! kuongea kiswahili si kujua kiswahili mkuu!!
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-
KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.
PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.
TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.
NNE ; weka mdahalo wako jikoni kisha uache uchemke kwa dakika kumi hadi kumi tano .
TANO; mdahalo wako ukiwa tayari uepue.
SITA; mdahalo huu unaweza kunywa na kinywaji chochote...
@copy&paste#..[/h]
Aalijitahidi kuliko asingejibu kitu ehe!! Akitoka anakwambia nimejibu maswali yote ile section! na tume juu anaundiwa eti kwann kafeli.
Kwa jinsi alivyojibu UWEZO ANAO!
tatizo ni kwamba hakufundishwa!
Hajui nini maana ya mdahalo!
Lawama zinawaendea waliopewa dhamana ya kumfundisha!
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-
KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.
PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.
TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.
NNE ; weka mdahalo wako jikoni kisha uache uchemke kwa dakika kumi hadi kumi tano .
TANO; mdahalo wako ukiwa tayari uepue.
SITA; mdahalo huu unaweza kunywa na kinywaji chochote...
@copy&paste#..[/h]
[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-
KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.
PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.
TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.
Hivi ni kweli hili swali lilikuwepo kwenye huo mtihani wa mwaka jana wa kiswahili au ni comedy tu hii
ni comedy[h=5]SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi-
KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri.
PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.
TATU ; bandika sufuria yako jikoni mkali kiasi.
Hivi ni kweli hili swali lilikuwepo kwenye huo mtihani wa mwaka jana wa kiswahili au ni comedy tu hii