Hivi ndivyo navyo imagine muonekano wa baadhi ya ladies wa humu JF

Moneytalk mmmh!!πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜†

Hebu waambie wakanushe kama siyo wao
 
Mkuu Eli Cohen ulikuwa na mpango wa kupandisha watu minazi tu.
Kweli kuwaza ndiyo hadi switikendi ukayawazia na makalio yake kama ilivoweka kwenye picha!

Sema pole kiongozi kwa kuwekwa kifungoni, najuwa unapita hapa japo huwezi kufanya chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…