hivi ndivyo nilivyopokelewa nilivyokwenda kumsalimia bibi

hivi ndivyo nilivyopokelewa nilivyokwenda kumsalimia bibi

cheusimangala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
2,585
Reaction score
498
36045_440403036810_667886810_5608079_2101372_n.jpg
 
Kwa bibi yako mko juu! Mpaka mna airport? Hongereni
 
Hebu ukirudi njoo na matopetope nimeyaona hapo.....
 
Airport gani na ya wapi(jina) inayoruhusu wamachinga mpaka ndani ya uwanja kuwauzia wateja vitu kupitia dirishani, je madirisha ya hiyo ndege yanafunguka ili mteja na muuzaji wafanye biashara!!!????
 
Watu kwa kuchakachua, siwawezi. Ninavyojua mimi,
1.Madirisha ya ndege hayafunguki.
2. Ndege ya ukubwa huo pichani ikiwa parking ni ndefu sana kwenda juu na mtu hawezi kufikia bila ya msaada wa ngazi.
3. Huwezi kuruhusiwa kuingia uwanjani kwa nia ya kufanya biashara kama hiyo pichani, kwa sababu za kiusalama.

Photoshop kiboko!
 
oooppss..... akhbari za huko sweatyyy... umenikumbuka kwa zawadi lakini?? nilikumiss ile mbaya wallah... lete storry..

za huku ni nzuri best,zawadi yako hata huitaji kuiulizia,wewe tena nisikuletee zawadi!asante kwa kunimiss,nami nilikumiss isivyo kawaida.
story zipo nyingi acha nipumzike kidogo kisha nitakupatia michapo yote shosti wangu.
 
ooooh najihisi kama nimekutana na lulu hapa nilipo..... okay pumua mi niko ntakusbiri tuu wala sichoki habibty...mmm.jpg🙂
za huku ni nzuri best,zawadi yako hata huitaji kuiulizia,wewe tena nisikuletee zawadi!asante kwa kunimiss,nami nilikumiss isivyo kawaida.
story zipo nyingi acha nipumzike kidogo kisha nitakupatia michapo yote shosti wangu.
 
Back
Top Bottom