Tamati
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,085
- 1,960
Habari ya Mwaka Mpya wa JF.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, baada ya wezi kuniibia vitendea kazi vyangu mnamo usiku wa 26/12/2019 kwenye mgahawa nilikuwa nimeuanzisha, kuanzia hiyo siku hadi leo bado sijaweza kurejea tena kwenye shughuli hiyo baada ya kukosa mtaji wa kuinuka tena hadi sasa maana nilikuwa bado sijaanza kupata faida. Mwanzo mgumu
Sikuwahi kubet kabisa, ila kuanzia katikati ya December mwaka jana nikiwa naendelea na shughuli ya mgahawa nilianza kubet kidogo kidogo kwa option ya WIN au DRAW pekee. Nikawa nabet kwa kuweka hela kidogo(nilianza na elfu 1 nikaweka kwenye akaunti ya beting) na kuitumia kidogo kidogo kwenye mikeka. nikawa nalose na kuwin ila lose ndio zilikuwa nyingi.
Kwa sasa nikiwa nyumbani na mwaka mpya ushaanza kuchanja mbuga bado ramani ya kurudi kwenye shughuli yangu haisomeki, nimeamua nibet ambapo nahakikisha kila siku napata faida japo kidogo kutokana na majibu yangu ya utafiti mdogo nilioufanya na ukatoa mbinu kama ifuatavyo.
1. Nitaendelea kubet kwa option ya WIN na DRAW pekee.
2. Nitakuwa nachagua timu 4 za uhakika, ambapo kati ya hizo, timu 2 zitakuwa za uhakika wa kushinda kwa asilimia 90+
3. Nitasuka mikeka 8 kwa kutumia hizo timu 4 nilizochagua, nahakikisha kila mkeka unaleta faida ya jumla ya hela nitakayoitumia kusuka mikeka yote 8. Nikitumia jumla ya Elfu 4 ambapo kila mkeka nitausuka kwa mia 5, mkeka lazima uzalishe kuanzia elfu 4 na mia 5 na kuendelea. Hadi hapo nitakuwa na uhakika wa kupata faida japo kidogo
Kwenye picha ni mikeka niliyosuka jana nilitarajia kuvuna kwenye mkeka mmoja na nilifanikiwa kuvuna. Pembeni ni thamani ya kila mkeka na mkeka namba 6 ulitiki.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, baada ya wezi kuniibia vitendea kazi vyangu mnamo usiku wa 26/12/2019 kwenye mgahawa nilikuwa nimeuanzisha, kuanzia hiyo siku hadi leo bado sijaweza kurejea tena kwenye shughuli hiyo baada ya kukosa mtaji wa kuinuka tena hadi sasa maana nilikuwa bado sijaanza kupata faida. Mwanzo mgumu
Sikuwahi kubet kabisa, ila kuanzia katikati ya December mwaka jana nikiwa naendelea na shughuli ya mgahawa nilianza kubet kidogo kidogo kwa option ya WIN au DRAW pekee. Nikawa nabet kwa kuweka hela kidogo(nilianza na elfu 1 nikaweka kwenye akaunti ya beting) na kuitumia kidogo kidogo kwenye mikeka. nikawa nalose na kuwin ila lose ndio zilikuwa nyingi.
Kwa sasa nikiwa nyumbani na mwaka mpya ushaanza kuchanja mbuga bado ramani ya kurudi kwenye shughuli yangu haisomeki, nimeamua nibet ambapo nahakikisha kila siku napata faida japo kidogo kutokana na majibu yangu ya utafiti mdogo nilioufanya na ukatoa mbinu kama ifuatavyo.
1. Nitaendelea kubet kwa option ya WIN na DRAW pekee.
2. Nitakuwa nachagua timu 4 za uhakika, ambapo kati ya hizo, timu 2 zitakuwa za uhakika wa kushinda kwa asilimia 90+
3. Nitasuka mikeka 8 kwa kutumia hizo timu 4 nilizochagua, nahakikisha kila mkeka unaleta faida ya jumla ya hela nitakayoitumia kusuka mikeka yote 8. Nikitumia jumla ya Elfu 4 ambapo kila mkeka nitausuka kwa mia 5, mkeka lazima uzalishe kuanzia elfu 4 na mia 5 na kuendelea. Hadi hapo nitakuwa na uhakika wa kupata faida japo kidogo
Kwenye picha ni mikeka niliyosuka jana nilitarajia kuvuna kwenye mkeka mmoja na nilifanikiwa kuvuna. Pembeni ni thamani ya kila mkeka na mkeka namba 6 ulitiki.