Hivi ndivyo tendo la NDOA linavyoombwa na baadhi ya Makabila

Asprin

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
68,223
Reaction score
96,083
Tendo la ndoa kwa wanandoa katika makabila tofauti huombwa kwa viashirio tofauti:

"Mchagga"........'We mama Haika, uko wapi? Ntaacha!!!
"Mkurya"..........'Rara chini nikurenge"
"Mhaya"..........."Mama Koku if you are ready twende tuka-perform"
"Mnyakyusa"....."Findu fyangu we obhokela

"Mpare" ..........."Mama Foibe thou nikakudenge"
"Msukuma".."Mama Kabula twendee tukhalimege litonge"
"Mjaluo"..........."Twendege tukasukumane"
"Mmasai".........."Mama Yeyoooo nataka ile namesa mwensake saa hii"

Natamani kujua Tanga Line, Wanyamwezi na Dengereko wanaombaje gemu kwa wake zao?

Angalizo: Hii ni kwa wanandoa tu!!
 
kwani wewe huwa unatishia kususa? eti nitaacha......wakati mtu mwenyewe siku hiyo unarudi saa 12, umebeba matunda, safari za jikoni haziishi, mara ooh nasikia harufu ya misosi unapika nini vile, mara unashika kiuno ya mamsapu kidogo, mara unapiga makalio yake kibao!

yote hayo maandalizi tu.........halafu ususe hiyo kitu inamesa mensie weeeee!!
 
Huu utafiti baaaaab kubwa!
Mkuu, subiri nikupe za kule kwetu!
 
HEHEHEHE!mimi nimelipenda angalizo tu

WAHEHE HUJAWARUSHA
 

Unasahau kuwa nakuwa nimetokea bar. Na mabo ya bar tunayajua wadumisha mila wenyewe.........πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!!!!!!
 
sio kila muda ni ujasiriamali zaidi,
kuna mida mingine ni ya kimapenzi zaidi.
Kaka mkuu haikuwa maana yangu kuwa niko kijasiriamali zaidi,hapana hata Kimapenzi zaidi nako nipo nipo.ila tu Tatizo ni lile ANGALIZO;Kwa wenye ndoa tu.
 
baba ........... si unaona mtoto kakuwa?twende basi tukamtafutie mwenzie wa kucheza nae
 
WANYAKYUSA ''...nungweeee?!TUWUUKE NUNGWE...!tuwuke tukin....oreπŸ˜€πŸ˜€
 
Wakwere wao saa yoyote tu huwa mzee aningia ndani anasema
mama cheusi.......hebu njoo mara moja.
mama akisikia hivyo tu, hata kama kuna maharage jikoni, anayatoa kwanza, coz anajua mzee anataka chakula yake.


na si unajua mzee msuli, mama kanga moja, kwa hiyo hakuna shida kusagula.
 
Acha ubaguzi Xspin mwone kwanza
 
Kaka mkuu haikuwa maana yangu kuwa niko kijasiriamali zaidi,hapana hata Kimapenzi zaidi nako nipo nipo.ila tu Tatizo ni lile ANGALIZO;Kwa wenye ndoa tu.
Kumbe bado kuolewa? Ngoja ni do the needful!

baba ........... si unaona mtoto kakuwa?twende basi tukamtafutie mwenzie wa kucheza nae
Hehehe! Hilo ombi lazima litakuwa la mchana!!

WANYAKYUSA ''...nungweeee?!TUWUUKE NUNGWE...!tuwuke tukin....oreπŸ˜€πŸ˜€
Hahahaha! PJ ngoja akuje kuthibitisha!

Hahaha! Kumbe ndo maana prezidaa wetu mambo flani.........πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!!!!!!!
 
Acha ubaguzi Xspin mwone kwanza

Hahaha! Mshiki wewe bado kujua haya. Subiri projekti yako ifike.

Nyie bado zenu zile za kudandiana chini ya mikahawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…