Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Mzee uliwapa facts lakini walikushuku kwa uchawi [emoji1] [emoji1]

Bora wangekuja kwenye matunguri ingependeza zaidi.
 
Humble haina mbwembwe hii na software ya kutrade ni MT4. Just click ile link.
Ngoja nikaicheck Gutapaka but tafadhali isiwe scam...!

Pia kama unaweza ifafanue hapa ikoje na inafanyaje Kazi na kwanini unaamini 100% pure deal?

Dadavua!
 
Hizo dola 100 x watu 1000= 100,000usd

Kwa exchange rate ya Leo Usd 1= 2230watutsh

Malizia mahesabu ujue kiasi gani kavuna


Ni hela nyingi kibongobongo ila kwa mfanyabishara mwenye akili kuliko kupata hyo hela mara moja atakubali kupata angalau hata dollar 5000 kwa mwezi kwa miaka kumi consistently ili kujenga uaminifu kwa clients wake ambao kimsingi watamtangaza vzuri na kumletea clients wengi zaidi....ila kama ni mfanyabiahara kiazi unaweza ona hyo 100,000$ ni nyingi sana kwa kuwaliza watu kwa mara moja.
 
Ngoja nikaicheck Gutapaka but tafadhali isiwe scam...!

Pia kama unaweza ifafanue hapa ikoje na inafanyaje Kazi na kwanini unaamini 100% pure deal? Help us understand.

Dadavua!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzeee wa sell and hold....cre ndp jipu hapa Ontario akiweza kulitumbua basi atakua amerejesha heshima.
 
Humble pale terms ndo kila kitu tp and sl free of use na hawakulazimishi kufanya jambo mkuu.
 
Watz sisi wavivu sana kusoma esp kama kuna sehemu anapata signal. Ukiacha kufata signal lazima usome sababu huna namna. Mambo ya sell and hold kwenye uptrend ndo matokeo yake haya full kulalamikiwa.
 


Mkuu wangu nimeshakueleza kuwa mm nilijitoa jpmarkets muda mfupi tu baada ya kuanza kutrade live na kichonifanya nitoke ni baada ya kuona spread zao hazina afya kwangu. Kuhusu watanzania kuwa na server yao kweli mm hilo silijui....ila naomba tu kusema tena kuwa tamaa ndo imewafikisha TMT hapa walipo....kwa mfano wangeongeza tu pip moja kwa kila trade inayokuwa executed na client wao wala malalamiko ya spread kuwa kubwa usingeyasikia na wangtenmgeneza hela nzuri tu,,,Kilichowaponza ni tamaa ya kupata hela nyingi harakaharaka ila wangejifunza kula na kipofu wangekula kwa muda sana maana Ontario alishaonekana kama ni hero kwa vijana wa kitanzania. Sema ndo hvo tena Sikio lakufa halisikii dawa.
 
Be careful hawa jamaa wanasifika kwa kuwa scammer unaeza deposit na usione kitu
Hata Mimi kabla hata sijapitia maandishi yao ya terms and conditions..nimesenses some kind of scammer behavior.

Nahisi nimekomaa siku hizi I can sense a scammer miles away. Ahahaha!
 
Hata Mimi kabla hata sijapitia maandishi yao ya terms and conditions..nimesenses some kind of scammer behavior.

Nahisi nimekomaa siku hizi I can sense a scammer miles away. Ahahaha!
Insta forex hawafai ukitrade ni unawatredia kukupa hio faida ni ndoto. Soma hata reviews zao au uliza traders wengine watakwambia
 
wangeomba kwanza consent ya customers wao ya kuongeza one pip na wakaitolea maelezo kwanini wanataka one pip but wana usiri mwingi sana haya tuliyoyagundua ni aidha machache sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…