f7bdc65 ndio referral number yako kwa ajili ya kupata commission.?Kampuni nyingine hii:
Wafanya biashara wa forex na wote wanaotaka kujifunza biashara hii
Conditions - FORT FINANCIAL SERVICES
Free startup bonus ni US $35.
Sasa unadhani mimi nina tofaut gani na tajiri unaemuamini wewe anaenunua stocks au shares???Huwezi kuwa na pesa ukategemea pesa ya kudownload, siku zote mjinga ndo faida ya tajiri; nyie ni fursa na mtaendelea kuwa fursa mpaka pale akili zitakapowakaa sawa sawa.
Sihitaji kujibiwa na watu wenye akili fupi kama zako, Toa hoja sio kubwabwaja hapa na kulia lia kama mtoto wa kike maana wakati mnaenda huko hakuna aliyewaita mlienda wenyewe, kama unashindwa kuelewa mambo madogo kama stocks na shares, Kwanini usigeuke fursa ya wenye fursaSasa unadhani mimi nina tofaut gani na tajiri unaemuamini wewe anaenunua stocks au shares???
Unajua ulivyo "mtupu" "uchi" kichwani hustahili hata kujibiwa na binadamu yoyote anaefanya forex.
Sasa kati ya mimi na wewe nani hana akili?? Yani unaita forex ni utapeli na bado unajichanganya kila muda humu ndani unapita kama swala mbugani. BLOCK hii thread usipate notifications zake ukasubscribe na nyuzi za kulima matikiti na kufuga kuku wa broiler.Sihitaji kujibiwa na watu wenye akili fupi kama zako, Toa hoja sio kubwabwaja hapa na kulia lia kama mtoto wa kike maana wakati mnaenda huko hakuna aliyewaita mlienda wenyewe, kama unashindwa kuelewa mambo madogo kama stocks na shares, Kwanini usigeuke fursa ya wenye fursa
Nilikuwa najaribu kumuelewesha tu kiongozi.MKUU ukiweza kubishana na @daudi1990 njo inbx nikupe wekundu. ila na mi na trade nina mpango wa kununua rippler zakutosha maana ndo inaanza
Ielezee kidogo basi mkuuKampuni nyingine hii:
Wafanya biashara wa forex na wote wanaotaka kujifunza biashara hii
Conditions - FORT FINANCIAL SERVICES
Free startup bonus ni US $35.
Huyu jamaa (Adam Khoo) ni mojawapo wa watu naowakubali sana kwa kuelimisha mambo ya forex!Mkuu ingia Youtube Andika Adam Khoo. Then pitia chanel yake video moja baada ya nyingine
Achana na hiyo kitu bro! Mbona fx inalipa sana tu tena bila kuumiza kichwa kama utaimaster kwa asimilia kubwa! KINACHO TU-COST KWENYE FX NI KUTAKA MAFANIKIO YA HARAKA HUKU HATUNA ELIMU YA KUTOSHA YA FX. HAPO NDIPO KUUNGUZA AKAUNTU KUNAPOSHIKA HATAMU!
mi na trade currency nili test tu kuangalia swap yake inavyo kuwa.Achana na hiyo kitu bro! Mbona fx inalipa sana tu tena bila kuumiza kichwa kama utaimaster kwa asimilia kubwa! KINACHO TU-COST KWENYE FX NI KUTAKA MAFANIKIO YA HARAKA HUKU HATUNA ELIMU YA KUTOSHA YA FX. HAPO NDIPO KUUNGUZA AKAUNTU KUNAPOSHIKA HATAMU!
True(Adam Khoo) anakuambia kitu kenye risk ndo kina manufaa makubwa sana. watu wengi wana shindwa kutokana na uoga,
Unajua ni vijana wengi wanavutiwa na uchakarikaji wako.Mkuu mbona una msemea au wewe ni sekretari wake?
Anyway, sio "nime trade" I am still trading!
Una lingine?
Ukweli mchunguKwa hiyo kahaba mange ndo ameshikiria kichwa chako umejipa muda lakini kusoma forex
Mzee baba sitoi training wala signals cha kukusaidia pitia vitabu hivi naked forex, price action na astroforex halafu nenda youtube tafuta channels za astroforex na urbanforex download video zote na uanze kufuatilia hizo training kwa umakini video ni ndefu na ukifuata kwa umakini hutohitaji sijui indicator wala training uchwala wala signals ila practice sana pips 40 utakuwa unaziona chache sana.
Umeapologize vizuri lakini ilikuwa vizuri kumshauri zaidi cha kufanya , maana watu wanahasira Bavaria na ni kweli kwamba wengi tulikurupuka lakini kwa vile tushatambua cha kufanya na tushajua kosa(sio wote) watu kama hawa ni kuwaelekeza njia za kuenenda na hii biashara(just hints) tu.I'm sorry for your loss.
How on earth do you think you can be a profitable trader in a 5 days training?
Forex is not for you. Kafanye mengine.
Wala hujanikwaza mkuu wangu, uwe na amani!! Tuko pamoja kiongozi!!Unajua ni vijana wengi wanavutiwa na uchakarikaji wako.
Nimeona kijana kakuita lakini akaishia kuzungumzia maswala ya irrigation.Kosa langu ni kuhisi alichokuwa anataka kuuliza.
Sina lingine na kama umekwazika 'samahani'