brother what hell is your chart....[emoji4] [emoji4]Mi nime iwaii mapema ngoja j3 na j4 niangalie kama itashukaa maana iko kama ina rudi oversold nahisi kuna haja a kuchukua profit mapema
View attachment 744210
SaluteWala hujanikwaza mkuu wangu, uwe na amani!! Tuko pamoja kiongozi!!
hujaielewa au, USD/JPY au chat yangu ilivyo badilika. mi natumia pcbrother what hell is your chart....[emoji4] [emoji4]
Huyo Ontario alitumia mwanya wa training shallow kuwatandika ndugu zetu wa damu a.k.a NyumbuNi kweli forex sio mbaya! Ila inahitaji muda kuelewa sio swala la siku tano! Kuna cha kujifunza hapa! Hakuna dhortcut kwenye maisha!
Kibaka ni kibaka tuHuyo Ontario alitumia mwanya wa training shallow kuwatandika ndugu zetu wa damu a.k.a Nyumbu
Ila pale TMT kuna mshkaji yule Msouth Africa ni facilitator anaitwa Rea
Huyu mwana daah! Jamaa ana roho nzuri hadi unaweza ogopa, yuko very humble, smart, calm, collected, hard working, full of respect and super friendly.. Yule mshkaji ni binadamu kabisa. Pure human.
The rest wa pale ni predators.
Shout out to you Rea,...We love you bruh!
Huyo ni mwanaume au mwanamke unamsifia?
Kama ni mwanaume,mzee uwe na limit ya kusifia wanaume wenzio,it is corny and it shows levels of your gay tendencies...
Ushauri tu kiroho safi!
Its called Brotherhood au Bromance Mimi ukifanya vizuri nakunadi papo kwa papo na ukitinyanga nakupasua on the spot.Huyo ni mwanaume au mwanamke unamsifia?
Kama ni mwanaume,mzee uwe na limit ya kusifia wanaume wenzio,it is corny and it shows levels of your gay tendencies...
Ushauri tu kiroho safi!
hahahahahaa safi sana. smart wordIts called Brotherhood au Bromance Mimi ukifanya vizuri nakunadi papo kwa papo na ukitinyanga nakupasua on the spot.
Hakuna relation kati ya kumnadi mtu na kuwa gay..Mkwere alimnadi jiwe deeply hadi kaingia madarakani.
Waswahili wanasema chanda chema huvikwa Pete.
Kwa hiyo kama kumnadi mtu ni tafsiri ya kuwa gay.. Then let me be gay guy. Tena gay mskule...Ahahaha!
Your advice has been ignored and denied.
Its called Brotherhood au Bromance Mimi ukifanya vizuri nakunadi papo kwa papo na ukitinyanga nakupasua on the spot.
Hakuna relation kati ya kumnadi mtu na kuwa gay..Mkwere alimnadi jiwe deeply hadi kaingia madarakani.
Waswahili wanasema chanda chema huvikwa Pete.
Kwa hiyo kama kumnadi mtu ni tafsiri ya kuwa gay.. Then let me be gay guy. Tena gay mskule...Ahahaha!
Your advice has been ignored and denied.
Kama hautakuwa msukule basi utakuwa bosi wao kaja na ID mpya.Mkuu maneno meengi na laini kama ya Ontario..
Wewe na Ontario hamna tofauti,ila wewe ni Ontario's poor man's version,Ontario is ahead of you..
Sasa basi....check definition ya "bromance",ni u-gay!
Mwanaume mwenzio unatoa credit kiasi ila sio unaandika the whole page dedicated kwa mwanaume mwenzio...inatakiwa msichana..
Mwanaume mwezio unampa bound tu inatosha,sio unamwaga moyo mzima kwenye page....ni maajabu,unaweza toa hata blowjob sasa!
Bromance is for gays.....look it up!
Kama hautakuwa msukule basi utakuwa bosi wao kaja na ID mpya.
Ngoja niuzibe huu mwanya unaotaka kupitia Ahahaha!..basi tufanye Mimi ni gay guy msukule...! Kama ukimsifia mtu na kushow brother love unakuwa gay basi Mimi Niko tayari kuwa gay..wewe uwe straight.
Then what else!?
Mimi nimeanza kuongea na kuandika hivi hivi kabla hata dogo Ontario hajajiunga JF.. Mimi ni senior expert wa JF.. May be he is my updated old version of me who is beyond my version in scamming techniques. Ahahaha!Sipo na Ontario....nakumbukia uzi wako wa Ontario..na unanikumbuka tulidiscuss mle,mimi,wewe na wadau wengine..Shida unasahau sana...
Sijawahi kua upande wa Ontario,go and check it up...
Leo nimekuweka mfano wa Ontario kwa jinsi unavyo ongea kwa maneno meeengi sana na laini uzi huu..is as if unaiga uongeaji wa Ontario...japo ni poor version yake..
Sijakufananisha nae sababu eti nipo kambi ya Ontario...im never fan wa ponzi scheme....
Please pambanua mambo kwa usahihi,na jaribu ku-debunk contexts kwa usahihi..
muache huyu jamaa anaweza kuharibu siku yako.Mimi nimeanza kuongea na kuandika hivi hivi kabla hata dogo Ontario hajajiunga JF.. Mimi ni senior expert wa JF.. May be he is my updated old version of me who is beyond my version in scamming techniques. Ahahaha!
Kama sio fun wa ponzi schemes sijui hata Kwenye hiki kijiwe unatafuta nini? I think you better bounce maana hapa panatufaa sisi ponzi fans wa Forex.
See you then big bro.