Mkuu huo uzi unaitwaje niusakue...!! nione jins ulivyotema madini watu wakakutolea njeAt the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
jamaa muongo huyu hujawahi pata loss hiyo Forex imekua ya mjomba akomkuu, mimi nafanya folex, na sijawahi kuwa na mentor na profit na make, na sijawahi pigwa lost. by now nipo na ma broker wa 3, forex.com, etoro.com na hawa templerfx.com... naishi mwanana tu, sijawahi hata ku attend training zaidi ya kujisomea mwenyewe
ulikuwa na ugomvi naeHumble African naomba kujua yule Executive secretary ashanunuliwa ile BMW sijui 6 maana ilisemekana pesa zitatoka forex kwa mme
😂😂😂Hahaha mkuu poleni sana kwa yaliyowakuta , so tmt anafanya kazi na broker gani now ... ila kweli Mungu si sholo mwamba [emoji2] [emoji2] [emoji2]
😂😂Mitanzania ndivyo tulivyo. Kuna mifuasi huielezi kitu mbele ya Ontario, Jiwe au Mboee.. inashabikia watu badala ya facts! Pumbavu kabisa
jamaa muongo huyu hujawahi pata loss hiyo Forex imekua ya mjomba ako
*STICK WITH BIG BROKERS, WHO ARE PROMINENT & HAVE BEEN TRIED & TESTED ALREADY. BEYOND REASONABLE DOUBT THEY ARE PROVED TO BE HONEST, PURE ECN,SMALL SPREADS FROM ZERO, OPEN & TRANSPARENT.*
*TO OPEN LIVE ACCOUNT & IF YOU WANT ME TO GUIDE YOU THROUGHOUT THE WHOLE PROCESS TILL YOU HAVE REACHED MT4 LIVE ACCOUNT. TICKMILL IS THE LEADING BROKER.*
*FEEL COMFORTABLE BY REGISTERING YOURSELF USING THE LINK BELOW.*
_*MEMBERS* USE THIS LINK_
https://secure.tickmill.com/redirec...ure.tickmill.com/trader/?task=1050&lang=2
*NOTE*
Below are the main points why to use Tickmill:
IpayAfrica mobile deposit / withdrawal option ( by next week will be available )
Those who will register with Tickmill using that IB link will get a discount on the commission charged on their trading activity on Pro account
Excellent trading conditions
Fast execution
Spreads from 0.0
85 Trading Instruments
No requotes
Negative Balance protection
Strong regulation
Segregated accounts
Industry Awarded
EAS and Algos Allowed
Fast withdrawals without commissions
Support in 15 languages via Chat, online message, email and phone
Mon-Fri 07:00-20:00 (GMT)
Ili upate pesa lazima hisani ya mtu ihusike eti?D9 ni zengwe Forex haina shida kama nikivyoeleza tatizo ni kwa wale ma agents wake ndio wamejaa ukatili na tamaa mbaya.
Nakushauri jifunze Forex Sio mbaya...D9 kitaalamu inaitwa ponzi scheme huu ndio utapeli mkubwa.
Not trueGroup lingine la ontarion
👑BRIGHT FOREX TANZANIA INSTITUTE
ᴡʀɪᴛᴇ ᴛᴏ ᴍᴇ ᴀʙᴏᴜᴛ: ✅ MARKET STRUCTURE MENTORSHIP 👨🎓 ✅ V.I.P 🌻sɪɢɴᴀʟ 📈📉 ✅FREE WEEKLY CHAT 🤑 🔰FREE eBooks 🇹🇿🇹🇿🇿🇦🇿🇦 ᴀᴅᴍɪɴ @MRBRIGHTZ BEST BROKER https://justforex.com//affiliate/landing/xmas?ref=334180t.me
[emoji16][emoji16]we ni maza fa,,,,,, nta!
Njoo kwa wajanja ujipatie signals kwa bure kabisaa
Tumia mwenyewe pekeako uzalishe kijanja
Njoo kwa wajanja ujipatie signals kwa bure kabisaa