Hivi ndivyo vyuo vizuri Tanzania, mambo ya Kuivana kuchagua vyuo vyenye elimu ngumu hayana uzito, baada ya kuhitimu maisha yanaendelea

Hivi ndivyo vyuo vizuri Tanzania, mambo ya Kuivana kuchagua vyuo vyenye elimu ngumu hayana uzito, baada ya kuhitimu maisha yanaendelea

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kwa elimu yetu ya hapa Tanzania soma vyuo ambavyo vina network kubwa ya kukuongezea uwezekano wa kupanua goli la oppurtunities (Ajira, Promotion maofisini, Scholarships, Grants, n.k) hata kama huna connection.

haya mambo ya kuwa nondo ,kuiva, kujisifu chuo kina elimu ngumu ni hayana uzito, mambo ya unondo waachie wahindi. wazungu, wachina, n.k. Wanaoweza kutegemea elimu zao kufanya ubunifu, kufanya projects, kuanzisha start ups zinazofanikiwa, n.k.

Kwa waliosoma vyuoni kuna kujuana kwa kusoma chuo kimoja hata kama moja kajitimu mwaka 1980 na mwengine kajitimu mwaka jana, Uhusiano huu unaitwa "Alumni" Ndio tunakuja kwenye point ya kusomea chuo chenye Network pana ya Alumni hasa kwenye top positions mfano wakuu wa mashirika, taasisi, Wizara, n.k.

Hivyo basi nashauri usome vyuo vyenye probability nzuri ya kukupa ajira chuo cha kwanza kikiwa UDSM kwasababu karibu 70% ya viongozi wa taasisi na mashirika wamesoma hapa na huwa hawasemi lakini kuna upendeleo flani wanawapa wadogo zao wahitimu wa udsm kwenye ajira na fursa nyinginezo kama scholarships, grants, n.k. Ukitupia jicho vyuo vyote hapa nchini utawakuta Lecturers wengi sana ni wa udsm.

Vyuo vingine navyoshauri ni kama Mzumbe na Udom, nao wameweza kuweka watu kadhaa kwenye top system, hivyo network yao sio haba. Nimeshuhudi kuna dogo aliwahi kupata kazi na wenzake wa wa chuo moja wapo, Ni kwamba kuna Human Resource officer wa kampuni flani alipewa jukumu la kusimamia zoezi la ajira, Yeye akaenda kwa wadogo zake waliosoma chuo kimoja kuwaasa wachangamkie fursa yeye atawapitisha, Hawajuani lakini wameunganishwa na network ya kusoma chuo kimoja.

Ukishindwa hapo nenda vyuo vyenye network kubwa kwenye fani unayosomea mfano sayansi nenda DIT au MUST, kozi za biashara nenda TIA au IFM, Kodi nenda chuo cha TRA, n.k.

Sijasema kwamba wanafunzi wa vyuo vingine hawapati ajira, NO ! Kuna wanafunzi wamesoma vyuo vya kawaida wana ajira kwenye vitengo vizito huku waliosoma vyuo kama Udsm wanasota mtaani, Main point ni kwamba ukisoma vyuo vyenye network pana upo more likely kubahatika kupata ajira, Promotion, scholarships, grants, etc.

Hayo mambo ya unondo weka mbali kabisa, wanafunzi hujisifu wapo nondo lakini mwisho wa siku wakihitimu hawawezi kutumia unondo huo kujitegemea kubuni vitu au kufanya projects za maana kwasababu elimu ya bongo ipo nyuma sana katika ulimwengu wa kisasa.
 
Kwa elimu yetu ya hapa Tanzania soma vyuo ambavyo vina network kubwa ya kukuongezea uwezekano wa kukupa ajira hata kama huna connection, haya mambo ya kuwa nondo / kuiva ni kupotoshana kwa elimu ya bongo, mambo ya unondo waachie wahindi. wazungu, wachina, n.k. Wanaoweza kutegemea elimu zao kufanya ubunifu, kufanya projects, kuanzisha start ups zinazofanikiwa, n.k.

Hivyo basi nashauri usome vyuo vyenye probability nzuri ya kukupa ajira chuo cha kwanza kikiwa UDSM kwasababu karibu 70% ya viongozi wa taasisi na mashirika wamesoma hapa na huwa hawasemi lakini kuna upendeleo flani wanawapa wahitimu wa udsm kwenye ajira na fursa nyinginezo kama scholarships, grants, n.k. Ukiangalia hata vyuoni Lecturers wengi sanaaa ni wa udsm.

Vyuo vingine navyoshauri ni kama Mzumbe na Udom, ni vyuo vilivyoweza kutoa watu wengi waliosambaa kwenye yop system hivyo network yao sio haba,

Ukishindwa hapo nenda vyuo vyenye network kubwa kwenye fani unayosomea mfano sayansi nenda DIT au MUST, kozi za biashara nenda TIA au IFM, Kodi nenda chuo cha TRA, n.k.

Hayo mambo ya unondo weka mbali kabisa, wanafunzi hujisifu wapo nondo lakini mwisho wa siku wakihitimu hawawezi kutumia unondo huo kujitegemea kubuni vitu au kufanya projects za maana kwasababu elimu ya bongo ipo nyuma sana katika ulimwengu wa kisasa, na wao wanaanza kugombania ajira.
Umegonga penyewe
 
Kama kuna mtu mpaka leo anafikiria uzuri au jina la chuo ni mpumbavu.

Fikiria kwanza kichwa chako kipo vizuri na tayari kupata changamoto na kukabiliana na na ushindani.

Sasa hivi teknolojia inafanya kazi so suala la kujiboresha kwa upande wa elimu ni la mtu husika japokuwa na miundombinu ya vyuo husika inachangia.

Tanzania tuna vyuo lakini hatuna miundombinu bora ya kufundishia.
 
Kwa elimu yetu ya hapa Tanzania soma vyuo ambavyo vina network kubwa ya kukuongezea uwezekano wa kupanua goli la oppurtunities (Ajira, Promotion maofisini, Scholarships, Grants, n.k) hata kama huna connection.

haya mambo ya kuwa nondo ,kuiva, kujisifu chuo kina elimu ngumu ni hayana uzito, mambo ya unondo waachie wahindi. wazungu, wachina, n.k. Wanaoweza kutegemea elimu zao kufanya ubunifu, kufanya projects, kuanzisha start ups zinazofanikiwa, n.k.

Hivyo basi nashauri usome vyuo vyenye probability nzuri ya kukupa ajira chuo cha kwanza kikiwa UDSM kwasababu karibu 70% ya viongozi wa taasisi na mashirika wamesoma hapa na huwa hawasemi lakini kuna upendeleo flani wanawapa wahitimu wa udsm kwenye ajira na fursa nyinginezo kama scholarships, grants, n.k. Ukiangalia hata vyuoni Lecturers wengi sanaaa ni wa udsm.

Vyuo vingine navyoshauri ni kama Mzumbe na Udom, nao wameweza kuweka watu kadhaa kwenye top system, hivyo network yao sio haba.

Ukishindwa hapo nenda vyuo vyenye network kubwa kwenye fani unayosomea mfano sayansi nenda DIT au MUST, kozi za biashara nenda TIA au IFM, Kodi nenda chuo cha TRA, n.k.

Sijasema kwamba wanafunzi wa vyuo vingine hawapati ajira, NO ! Kuna wanafunzi wamesoma vyuo vya kawaida wana ajira kwenye vitengo vizito huku waliosoma vyuo kama Udsm wanasota mtaani, Main point ni kwamba ukisoma vyuo vyenye network pana upo more likely kubahatika kupata ajira, Promotion, scholarships, grants, etc.

Hayo mambo ya unondo weka mbali kabisa, wanafunzi hujisifu wapo nondo lakini mwisho wa siku wakihitimu hawawezi kutumia unondo huo kujitegemea kubuni vitu au kufanya projects za maana kwasababu elimu ya bongo ipo nyuma sana katika ulimwengu wa kisasa, na wao wanaanza kugombania ajira.
Mpaka hapo, umeishapotea, ajira za serikalini, ni kujuana tu, na upendeleo, sekta binafsi, lazima ushikwe mkono,
Wahitimu kutoka vyuoni kila mwaka,ni 800K, nafasi za ajira 40K kila mwaka! Sasa kusoma UD, DIT, nk kutakupa miujiza gani?
2010,nilifanya usaili BOT Dar, nafasi ilikuwa moja, tukaitwa Saba, tukapiga written, tykabaki 5,oral akapatikana mmoja,
Kabla ya usaili, wale HR department, kuonyesha kwamba tuna bshati Sana kuitwa tu kwenye usaili, wakatuonyesha marundo ya barua za waombaji kwenye maboksi!
Ajira ni ngumu sana, hata utoke na honor ya UD, bila makarateka mengine, utasaga rami sana.
 
Mpaka hapo, umeishapotea, ajira za serikalini, ni kujuana tu, na upendeleo, sekta binafsi, lazima ushikwe mkono,
Wahitimu kutoka vyuoni kila mwaka,ni 800K, nafasi za ajira 40K kila mwaka! Sasa kusoma UD, DIT, nk kutakupa miujiza gani?
2010,nilifanya usaili BOT Dar, nafasi ilikuwa moja, tukaitwa Saba, tukapiga written, tykabaki 5,oral akapatikana mmoja,
Kabla ya usaili, wale HR department, kuonyesha kwamba tuna bshati Sana kuitwa tu kwenye usaili, wakatuonyesha marundo ya barua za waombaji kwenye maboksi!
Ajira ni ngumu sana, hata utoke na honor ya UD, bila makarateka mengine, utasaga rami sana.
Umeshasema ajira ni kujuana, Kwa waliosoma vyuoni kuna kujuana kwa kusoma chuo kimoja hata kama moja kajitimu mwaka 1980 na mwengine kajitimu mwaka jana, Uhusiano huu unaitwa "Alumni" Ndio tunakuja kwenye point ya kusomea chuo chenye Network pana ya Alumni kwenye top positions, Chuo kama Udsm kinatoa almost 70% ya wakuu wa Wizara, taasisi na mashirika, Ni rahisi zaidi kushikwa mkono kuzidi outsider.
 
Soma chuo ambacho hakina msuli mzito ili usifeli muna ma vyuo ni ya kijinga nmeona juzi jamaa katuma majina ya graduate eti wameanza 400 wamemaliza 103 ss ndo chuo gani icho wote hao n vilaza 300 na zaidi
 
Back
Top Bottom