Hivi ndivyo wafugaji wengi wa kuku wanavyotapeliwa kwa kuuziwa vifaranga vya uzao wa pili au tatu

YANI HAPA NAPIGA TIKI YOTE ULIYOANDIKA NDO NILIAMBIWA!!

KUKU WA KIENYEJI MPK AFIKE MAHALI PA KUUZWA KWA 25,000 SI CHINI YA MIAKA MIWILI!
NA HATAZIDI KILO 2

KUKUNWA KIENYEJI ANALALIA KWA ASILI
HATA UKIMTOTOLESHEA MAYAI, MWILI WAKE UNACHUKUA MUDA TENA KUANZA KUTAGA TENA!!
Kufuga kuku wa kienyeji ni kurudi nyuma zaidi.

Cha msingi ni kupata kuku chotara kwa watu sahihi .
 
Nakuelewa kuliko maelezo.
 
Hiki ulichoandika hapa nimekithibitisha SUA!!

Nilienda tu kujifunza kuhusu kuku!
MIONGONI MWA NILIYOSIKIA NI HILI ULILOANDIKA HAPA!!

exact the same!!
Mpk nikakumbuka hii thread!!
Sua was my Home of excellence, niko katika hii industry ya kuku kwa muda nimeona jinsi wazee na wamama wastaafu wanavyopigwa hela na wahuni hapa jijini.

Nimeleta huu uzi atleast waweze kuwa wadadisi na waepuke kuingizwa mjini maana unakuta mfugaji anatumia fedha nyingi mno katika matunzo halafu mwisho wa siku uzalishaji unakuwa chini.

Hapa ndipo ilipofikia mpaka industry ya kuku ikaonekana ya kitapeli.
 
Sure...
 
Yani nimejifunza kitu cha tofauti sana! SANA SANA! ambacho dah! Sidhani kama watu wanajua hii information gap inavowaumiza!

NILIKUWA NIMESHAWEKA ORDER YA VIFARANGA KWA MTU! Mbona nimeshahairisha, nimejisubmit Silverlands , acha nisubiri hata miezi sita! NTAFUGA TU, UFUGAJI WENYE TIJA THOUGH!
 
Umefanya jambo Jema sana. Pia usisahau ku share information kwa marafiki pia utakuwa umewasaidia kwa namna moja ama nyingine.
 
Somo zuri sana “mfupa adhimu”, Wafugaji wameshindwa kuelewa kabisa hili..na kukimbilia wale wanaorusha matangazo kwenye makundi ya mitandao ya kijamii.
 

Umeongeza chumvi

Kuku wa kienyeji mbona tumefuga na wanazidi kg 2 ndani ya mwaka?!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hiyo ni kanuni ya kawaida sana hata kwenye matikiti au nyanya au mazao yoyote yale, F1 ndo kila kitu
 

Asante kwa somo zuri sana. Nina swali moja. Nikichukua hao chotara F1 kutoka kwa makampuni uliyotaja, alafu nikawakuza. Wakiwa wakubwa nikatenga jogoo mzuri kuliko wote nikamweka kwa kuku wangu wa kienyeji pure. Then hao chotara nikawauza wote. Abaki huyo jogoo awashughulikie tetea wangu wa kienyeji, si nitakuwa nimefanikiwa kuboresha kuku wangu wa kienyeji? Maana lengo langu nataka kuku wa kienyeji ila ambao watakuwa na miili mizuri
 

Ahsante sana mkuu kwa elimu hii muhimu
 
Hiki ulichoandika hapa nimekithibitisha SUA!!

Nilienda tu kujifunza kuhusu kuku!
MIONGONI MWA NILIYOSIKIA NI HILI ULILOANDIKA HAPA!!

exact the same!!
Mpk nikakumbuka hii thread!!

Mkuu naweza kuja Pm
 

Jibu la swali ili ni muhimu sana kwangu pia.
 
Acha kupotosha watu. Yaani hapo kwenye kuchambua f1 na f2
F1, ni uzao ilio toka kwa kizazi olijino ambayo ndio parents stork, na kizazi hiki kitakua na uwezo kama ilivyo parent stork.

Na f2 ndio hivi hawa wa mtaani. Unakuta kuku f1 wanacross na hawa wetu wa kiswahili unakuta ndio wanatoa chotara aliye changanyika kwa baba na mama so wengi waliopo mtaani ni f3.

Sasa ukisema kua parents stck ikizeeka wanachinja je uko wanakochukua parents stock inatoka wap. Parents stock inatoka kwa kizazi ambacho ni F1 wakiona hawa wanakaribia kuzeeka wanaanda kizazi kipya. Ikiwa kama wanachinjaa tuu ata huko wanakotoka wote wangechinjwa na kizazi kingeisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa ushauri ,mimi nahitaji kuku chotara iyo first generation je hayo makampuni makubwa wanauza vifaranga vya mwezi mmoja au wanauza vya siku tuu.?
Kufuga kuku wa kienyeji ni kurudi nyuma zaidi.

Cha msingi ni kupata kuku chotara kwa watu sahihi .
 
Ba
naomba unambie ni kampuni ipi nitapata kuku chotara f1 kiurahisi kwa dar
 
Kwani inachukua muda mrefu kupata vifaranga.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…