Hivi ndiyo visa vya waganga wa kienyeji wapenda pesa!

Hivi ndiyo visa vya waganga wa kienyeji wapenda pesa!

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Waganga wa kienyeji ni watu wenye mchango mkubwa upande wa pili ndani ya ulimwengu.

Hapa kuna watu povu na maneno ya kejeli yata watoka kwa sababu hizi:

*Wengi wanawatumia kwa ajili ya mabaya!
*Wengi ni walonzi ,wanga na wachawi.
*Wengi humu mtaki kujionesha kuogopa kuwa mnatatua matatizo yenu kipitia kwao.

Tuje kwenye mada ya hawa waganga wa kienyeji. Waganga wa kienyeji zamani walikuwa tofauti sana ukifananisha na wasasa ambao ndio wimbi kubwa la wapenda pesa.

Waganga wa zamani wakikuagua kwa maitaji madogo ya kununua vifaa na kusimamia ila posho yake au shukrani utampa ukija kuona mafanikio. Ndio maana walikuwa wanafanya kazi na kuogopeka kwa matibabu yao.

Waganga leo:
Mganga waleo pesa yako ndio msaada wako na hii upelekea hata kurubuniwa na wachawi,mbaya wako na matatizo kujirudia.

Kwa nini namaanisha hilo!
Mganga mpenda pesa hata kama umerogwa na mchawi na anaweza kukuagua basi mchawi akijua anarudi kwa mganga na kupanda dau ndio maana unasikia mtu ana lalamika kila anapoenda mambo haya tatuliki.

Mganga mpenda pesa siku zote anatibu nusu ili kesho urudi au kukutibu kwa kutegeshea urudi na kufanya kila siku urudi.
mganga mpenda pesa uchukua nyota za watu na majini uliokuwa nao mfano majini ya pesa,uongozi au mazuri na kuuzia watu.

Mganga mpenda pesa ni mchonganishi sana wa rarmi.
Mganga mpenda pesa anaweza kukutibia wewe na akaja mbaya wako kuja kukualibia bila wewe kufahamu kaja kwa huyo mganga na mganga hakapokea pesa kwa mbaya wako kuvunja tena tiba yako.

Haya ni mafupi ila nawafungua tu
 
Waganga wa kienyeji ni watu wenye mchango mkubwa upande wa pili ndani ya ulimwengu.

Hapa kuna watu povu na maneno ya kejeli yata watoka kwa sababu hizi :
*wengi wanawatumia kwa ajili ya mabaya!
*wengi ni walonzi ,wanga na wachawi.
*wengi humu mtaki kujionesha kuogopa kuwa mnatatua matatizo yenu kipitia kwao.

Tuje kwenye mada ya hawa waganga wa kienyeji.
waganga wa kienyeji zamani walikuwa tofauti sana ukifananisha na wasasa ambao ndio wimbi kubwa la wapenda pesa.
waganga wa zamani wakikuagua kwa maitaji madogo ya kununua vifaa na kusimamia ila posho yake au shukrani utampa ukija kuona mafanikio.
ndio maana walikuwa wanafanya kazi na kuogopeka kwa matibabu yao.

Waganga leo:
Mganga waleo pesa yako ndio msaada wako na hii upelekea hata kurubuniwa na wachawi,mbaya wako na matatizo kujirudia.

Kwanini na maanisha hilo!.
Mganga mpenda pesa hata kama umerogwa na mchawi na anaweza kukuagua basi mchawi akijua anarudi kwa mganga na kupanda dau ndio maana unasikia mtu ana lalamika kila anapoenda mambo haya tatuliki.
Mganga mpenda pesa siku zote anatibu nusu ili kesho urudi au kukutibu kwa kutegeshea urudi na kufanya kila siku urudi.
Mganga mpenda pesa uchukua nyota za watu na majini uliokuwa nao mfano majini ya pesa,uongozi au mazuri na kuuzia watu.

Mganga mpenda pesa ni mchonganishi sana wa rarmi.
Mganga mpenda pesa anaweza kukutibia wewe na akaja mbaya wako kuja kukualibia bila wewe kufahamu kaja kwa huyo mganga na mganga hakapokea pesa kwa mbaya wako kuvunja tena tiba yako.

Haya ni mafupi ila nawafungua tu
 
Hapa suluhu ni kutokwenda tu kwa hao Waganga njaa.
 
Kwann umtegemee mwanadamu Ili akutatulie shida zako.

Ukijua uwezo ulio nao uhitaji mganga wala nabii akutatulie madhaifu yako.
 
Mganga ni mfanyabiashara atakacho ni pesa.
 
Ningekuwa mganga,akija mteja namwambia leta saruji mifuko 10,akija mwingine tofali 500 za kuchoma,akijileta mwingine leta bati bando 10...nakusanya hadi najenga,kwani wajinga ndio waliwao
Utopata mtu waambie mifugo then unauza
 
Waganga wa sasa wanasema watu wa sasa hivi nao wamebadilika hawana uaminifu ukimtibu pesa baadae awaleti hata wakifanikiwa so wanavuta pesa kwanza uje usije lipa shukrani baada ya tiba ni lako hilo
 
Back
Top Bottom